Namba za huduma kwa wateja wizara ya elimu

Namba za huduma kwa wateja wizara ya elimu

deog99

New Member
Joined
Oct 5, 2022
Posts
4
Reaction score
3
Tunaomba tusaidiwe hii wizara ya elimu walizindua kituo Cha huduma juzijuzi na wakatangaza ila ukipiga simu utakuta namba haipatikani au namba haipokewi tunaomba kusaidiwa kufikisha hii taarifa kwa wahusika
 
Back
Top Bottom