Tigo ni wezi??

Tigo ni wezi??

sambestman

Member
Joined
Jan 2, 2012
Posts
38
Reaction score
18
Wadau naomba msaada jana nimeweka vocha kwenye number yangu ya tigo mara mbili na ikawa inaisha bila mimi kupiga simu ....hawa tigo ni wezi au ni mauzauza yalinitokea?
 
Kama ulikopa ni lazima kulipa kwamaana hiyo walikata madeni yao
 
tena ni qualified wez hawa jamaa
 
Back
Top Bottom