Tigo ni Wasumbufu Sana

Tigo ni Wasumbufu Sana

Mivyumba

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2017
Posts
275
Reaction score
533
Habari wakuu!! Leo kwenye mida ya Saa tano,niliweka vocha ya tsh 20000, nikajiunga Kifurushi cha mwezi cha tsh 15000 ambapo walinipatia Dak 850,GB 5.5 Na Sms 500. Kabla ya kujiunga nilikuwa na GB 3,hivyo jumla nikawa na GB 8 na hizo dak pamoja na Salio lililobaki la Tsh 5000. Cha Ajabu after 2 hrs najaribu kumpigia mtu naambiwa Salio hamna🤔🤔kweli nilipoangalia nikakuta 0 kwenye Salio la kawaida,sms 0,mb 0 na Dak pia! Najaribu kuwapigia Lakini simu hawapokei. Naomba Mwongozo wa namna ya kufuatilia
 
Habari wakuu!! Leo kwenye mida ya Saa tano,niliweka vocha ya tsh 20000, nikajiunga Kifurushi cha mwezi cha tsh 15000 ambapo walinipatia Dak 850,GB 5.5 Na Sms 500. Kabla ya kujiunga nilikuwa na GB 3,hivyo jumla nikawa na GB 8 na hizo dak pamoja na Salio lililobaki la Tsh 5000. Cha Ajabu after 2 hrs najaribu kumpigia mtu naambiwa Salio hamna🤔🤔kweli nilipoangalia nikakuta 0 kwenye Salio la kawaida,sms 0,mb 0 na Dak pia! Najaribu kuwapigia Lakini simu hawapokei. Naomba Mwongozo wa namna ya kufuatilia
Pole mkuu mimi Airtel jana wamenipiga juu kwa juu, nimehamisha pesa kutoka mastercard kuja airtel money kwenye akaunti imekatwa lakini sikuipokea. Kuwacheki eti wananiambia niwasiliane na DPO yani kampuni inayo handle miamala yao ya mastercard na visa transfers utadhani mimi ndio nimeingia mkataba nao. Ikabidi niwasiliane nao kweli wakanitumia hadi receipt kuwa muamala umeenda airtrl, airtel wao wamadai hawajauona.
Imenibidi niache tu.
 
Usipaniki! Wana tabia ya kuondoa bundle na kurudisha baade. Nadhani ni matatizo ya system yao. Anyway.. njoo Voda hutojitia, sikuizi wameacha kutubania
 
Usipaniki! Wana tabia ya kuondoa bundle na kurudisha baade. Nadhani ni matatizo ya system yao. Anyway.. njoo Voda hutojitia, sikuizi wameacha kutubania
Nina voda pia mkuu,hii line ni ya ofisi ndo maana nafuatilia
 
Pole mkuu mimi Airtel jana wamenipiga juu kwa juu, nimehamisha pesa kutoka mastercard kuja airtel money kwenye akaunti imekatwa lakini sikuipokea. Kuwacheki eti wananiambia niwasiliane na DPO yani kampuni inayo handle miamala yao ya mastercard na visa transfers utadhani mimi ndio nimeingia mkataba nao. Ikabidi niwasiliane nao kweli wakanitumia hadi receipt kuwa muamala umeenda airtrl, airtel wao wamadai hawajauona.
Imenibidi niache tu.
Kama ni hela kubwa,naomba uifuatilie
 
huwa siach hela kwwnye salio au kuunga kabla kingine hakijaisha.mamb ya kuja kjuambiw uliacha simu ina ji update imekula.hela

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
hao tigo mi nimeshagombana nao sana, yaan hii kampuni tangu ilipobinafsishwa imekuwa kwikwi sana

kuna wakati minwalikuwa wananikata mb zangu bila hata mpangilio

halafu matokeo yake ukiwapigia hawapokei ikabidi niwafuate kwenye page yao ya facebook nika complain hatar

wakanipigia, yaan taarifa walizokuwa wananipa utadhini sio wataalam kabisa wa kazi yao

social network zote nili log out na nyingine nili disable, brawser zote nili dis able kwaiyo hakukuwa na apps zozote zinazo run

cha ajabu wananiambia eti siku close zile site zilizokuwa naingia nikaona kweli hawa vilaza

we nome close kila kitu eti wanasema sija close

ndio nikaona hawa kweli akili hakuna

inshort tigo ni wezi sana
 
Yani acha mkuu, huduma ni ya kwao kampuni wameingia nayo mkataba wao mimi nimeikuta tu kwenye airtel app, halafu likitokea tatizo eti mimi ndiye niwasiliane na DPO🤣
wana majibu mepesi kweli kwenye issue serious

inakera sana
 
Habari wakuu!! Leo kwenye mida ya Saa tano,niliweka vocha ya tsh 20000, nikajiunga Kifurushi cha mwezi cha tsh 15000 ambapo walinipatia Dak 850,GB 5.5 Na Sms 500. Kabla ya kujiunga nilikuwa na GB 3,hivyo jumla nikawa na GB 8 na hizo dak pamoja na Salio lililobaki la Tsh 5000. Cha Ajabu after 2 hrs najaribu kumpigia mtu naambiwa Salio hamna🤔🤔kweli nilipoangalia nikakuta 0 kwenye Salio la kawaida,sms 0,mb 0 na Dak pia! Najaribu kuwapigia Lakini simu hawapokei. Naomba Mwongozo wa namna ya kufuatilia
Potezea
 
hao tigo mi nimeshagombana nao sana, yaan hii kampuni tangu ilipobinafsishwa imekuwa kwikwi sana

kuna wakati minwalikuwa wananikata mb zangu bila hata mpangilio

halafu matokeo yake ukiwapigia hawapokei ikabidi niwafuate kwenye page yao ya facebook nika complain hatar

wakanipigia, yaan taarifa walizokuwa wananipa utadhini sio wataalam kabisa wa kazi yao

social network zote nili log out na nyingine nili disable, brawser zote nili dis able kwaiyo hakukuwa na apps zozote zinazo run

cha ajabu wananiambia eti siku close zile site zilizokuwa naingia nikaona kweli hawa vilaza

we nome close kila kitu eti wanasema sija close

ndio nikaona hawa kweli akili hakuna

inshort tigo ni wezi sana
Watairudisha kama ndo tabia yao
Litafika hadi kwa Waziri ohooo
 
Back
Top Bottom