Tigo mtandao huu jaman siku hizi ni matatizo matupu hapa musoma,network ni tatizo kubwa sana,yan muda mwing mtandao unafel hata mtu ukiwa na emegence unashindwa kufanya mambo yako. Leo nahamia airtel au voda rasmi haiwezekan nikae katika mtandao ya ubabaishaj kias hiki, tumechoka na tigo jaman tosha sasaaaaa!