stranger man
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 420
- 524
Kila Siku ya mungu hii mitandao imekuwa kero mnatupandishia gharama za vifurushi kila siku kwa kupunguza dakika mfano tsh 499 tulikuwa tunapata dakika 25 na MB 70 Leo imekuwa dakika 20 MB 50 eti kisa smart phone zinatumika sana katika internet mpate faida kuweni na huruma bas wengine hatuna ajira tunatumia kupiga sim Na Internet kutafuta kaz.
Mmekuwa wanyonyaji sana yaan mnatufanya kama misukule tunaumia sana tunajua upepari ndio unaotupeleka hapa cha kushangaza TCRC hawafanyi chochote zaidi ya kuitisha mikutano ya mablock Na vyombo vya habari.
Ewe mungu lirudishe shirika la TTCL lipamue huduma tuachane na hawa wanyonyaji wenye dhuluma kwa kutumia uchache wao.
Mmekuwa wanyonyaji sana yaan mnatufanya kama misukule tunaumia sana tunajua upepari ndio unaotupeleka hapa cha kushangaza TCRC hawafanyi chochote zaidi ya kuitisha mikutano ya mablock Na vyombo vya habari.
Ewe mungu lirudishe shirika la TTCL lipamue huduma tuachane na hawa wanyonyaji wenye dhuluma kwa kutumia uchache wao.