Tigo mnatukera na matangazo ya 'caller tunes'

Ukimpigia mtu hapatikani badala ya kujibiwa hapatikani kwanza unasikia huo mwimbo kama tangazo la caller tune, baadaye ndo unajibiwa hapatikani.

Nampigia mtu anaongea na simu nyingine kwanza napigiwa huo mwimbo kama tangazo la caller tune baadage ndo najibiwa mtumiaji yupo busy.


Binafs ninakerwa sana, pumbaav zenu tigo. Watu tuna haraka na stress zetu mtu hapatikani nijibiwe hapatikani basi, kama yupo busy nijibiwe yuko busy. Mnatutia hasira na kutuondolea mood kila nikipiga simu huo wimbo huo wimbo aargggh!

Hata kama ni tangazo si mngekuwa mnamuwekea mtu huo mwimbo kama tangazo la caller tune mara 5 kwa siku muda mwngine ajibiwe kawaida??!!
dawa ni kuhama tu unapunguza matatizo.
 
Jamani kampuni ni nyingi tofauti na tanesco. Hapo ni kuhama tu unapunguza matatizo kwanini ung'ang'anie hapo tu?kwa huduma zipi hasa mpaka nikomae kwao! Futilia mbali.
 
Jamani kampuni ni nyingi tofauti na tanesco. Hapo ni kuhama tu unapunguza matatizo kwanini ung'ang'anie hapo tu?kwa huduma zipi hasa mpaka nikomae kwao! Futilia mbali.

kifurushi cha chuo mkuu ndio kinatupa uvumilivu.
 
mwenzenu nmerudi fom1 kwan nmekariri tangazo la mtu wa busy na asiepatkana likianza nakata zangu kimyaaa kiroho safi
 
Yaaan wanawapotezea watu muda Sana, badala ya kumjibu mtu Kama hapatikani au inatumika wao wanaleta mi caller tune yao which is so frustrating kwa mtu Mwenye haraka, si mtangaze ITV au radio 1?!
 
Mi nataka nielekezee procedure za kuzuia hii!customet care?tcra?
Zantel walikuwa na ka automaton call yao ya matangazo nikamramba email kali sales manager wao kwangu halipo tena!
 
Tatizo hata kama hutumii huo mtandao ukimpigia mtu wa tigo unapigiwa huo wimbo.
 
Inaudhi sana kwa kweli. Saa nyingine mtu unakuwa unahitaji msaada wa haraka. Unapopiga simu badala ya kupokelewa na unayempigia ili upate msaada unapokelewa na matangazo ya kijinga. Sasa kama mtu amezidiwa na ugonjwa si atakufa bila kupata msaada? Jirekebisheni Tigo. tafuteni namna nyingine ya kuweka matangazo yenu. Mbona mitandao mingine haifanyi hivyo?
 
Ukimpigia mtu hapatikani badala ya kujibiwa hapatikani kwanza unasikia huo mwimbo kama tangazo la caller tune, baadaye ndo unajibiwa hapatikani.

Nampigia mtu anaongea na simu nyingine kwanza napigiwa huo mwimbo kama tangazo la caller tune baadage ndo najibiwa mtumiaji yupo busy.


Binafs ninakerwa sana, pumbaav zenu tigo. Watu tuna haraka na stress zetu mtu hapatikani nijibiwe hapatikani basi, kama yupo busy nijibiwe yuko busy. Mnatutia hasira na kutuondolea mood kila nikipiga simu huo wimbo huo wimbo aargggh!

Hata kama ni tangazo si mngekuwa mnamuwekea mtu huo mwimbo kama tangazo la caller tune mara 5 kwa siku muda mwngine ajibiwe kawaida??!!

Terms and condition applied
 
Back
Top Bottom