Android
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 984
- 1,240
Ukimpigia mtu hapatikani badala ya kujibiwa hapatikani kwanza unasikia huo mwimbo kama tangazo la caller tune, baadaye ndo unajibiwa hapatikani.
Nampigia mtu anaongea na simu nyingine kwanza napigiwa huo mwimbo kama tangazo la caller tune baadage ndo najibiwa mtumiaji yupo busy.
Binafs ninakerwa sana, pumbaav zenu tigo. Watu tuna haraka na stress zetu mtu hapatikani nijibiwe hapatikani basi, kama yupo busy nijibiwe yuko busy. Mnatutia hasira na kutuondolea mood kila nikipiga simu huo wimbo huo wimbo aargggh!
Hata kama ni tangazo si mngekuwa mnamuwekea mtu huo mwimbo kama tangazo la caller tune mara 5 kwa siku muda mwngine ajibiwe kawaida??!!
Nampigia mtu anaongea na simu nyingine kwanza napigiwa huo mwimbo kama tangazo la caller tune baadage ndo najibiwa mtumiaji yupo busy.
Binafs ninakerwa sana, pumbaav zenu tigo. Watu tuna haraka na stress zetu mtu hapatikani nijibiwe hapatikani basi, kama yupo busy nijibiwe yuko busy. Mnatutia hasira na kutuondolea mood kila nikipiga simu huo wimbo huo wimbo aargggh!
Hata kama ni tangazo si mngekuwa mnamuwekea mtu huo mwimbo kama tangazo la caller tune mara 5 kwa siku muda mwngine ajibiwe kawaida??!!