aisee mbona tigo mmekua kama mgao wa umeme mara mda huu mpo hewani baada ya mda hampatikani 2waeleweje?
Pamoja na kasoro zake, siiwachi tiGooooooooooooooooooooooo!
Wenyewe si mnapenda tigo!
hujaelewa topic yetu.
Ndio faida na hasara za kujimbilia urahisi!