hahaa mpaka wakwako kumbe ..daahh yaani haya matangazo ni research tosha yakutufnya wazazi tugundue talent za watoto wetu...kuna siku moja niliwahi kumsikia beyonce akisema alianza kuimba akiwa na miaka miwili nikaishia kuguna tu...lakini sasa hvi naaminiMkuu wangu kama wako.Ana miezi 8 ila Pindua pindua linamchanganya sana.
aiseee kwahiyo wewe ndiye mama yake ??Unahangaika bure , mtoto mwenyewe siyo wako.
Kama unapinga nenda upime DNA
ha ha ha ; Mkuu una uhakika kwamba dingi yako ni dingi kweli??? Why don't you go and have a DNA test with him to confirm?Unahangaika bure , mtoto mwenyewe siyo wako.
Kama unapinga nenda upime DNA
Atakuwa taahira huyo dogo.Eti mi mtoto wangu akimuona tu magufuli anaongea hataki nibadili chanel hadi analia!mwache mafuliii dadii mafuli huyooo
Mama angu na mtoto mdogo wa aunty yangu wanalipenda balaaNina mpangoooo nina mpangoooo ----- nipe mpango...
hahaa mpaka wakwako kumbe ..daahh yaani haya matangazo ni research tosha yakutufnya wazazi tugundue talent za watoto wetu...kuna siku moja niliwahi kumsikia beyonce akisema alianza kuimba akiwa na miaka miwili nikaishia kuguna tu...lakini sasa hvi naamini