Tigo mnamdatisha binti yangu!!

Tigo mnamdatisha binti yangu!!

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
36,509
Reaction score
45,122
Kwanza hongera sana TIGO kubuni matangazo mazuri yenye mvuto na midundo asillia. Lakini sasa mmeniletea kizazaa nyumbani kwangu tena kikubwa.

Binti yangu wa mwaka mmoja akiliona tangazo lenu la "nina mpango" kwa Runinga inakuwa ni hatari ....

Nina mpangoooo nina mpangoooo ----- nipe mpango...

yaani anadata kabisa; anashangilia kwa furaha kubwa haijalishi alikuwa kwenye mod gani; ngoma inasanuka pale tangazo linapokwisha inakuwa balaa; sebureni hapakaliki; atalia atalia ili tumwekee tena na mbaya zaidi anasusa kila kitu.

Sasa pamoja na pongezi kwenu najua mnapita pita humu basi niwekeeni hilo tangazo ni - download niwe namwekea hasa wakati wa kula maana ni mbishi hatari.

Natanguliza shukrani.
 
Kwanza hongera sana TIGO kubuni matangazo mazuri yenye mvuto na midundo asillia. Lakini sasa mmeniletea kizazaa nyumbani kwangu tena kikubwa.

Binti yangu wa mwaka mmoja akiliona tangazo lenu la "nina mpango" kwa Runinga inakuwa ni hatari ....

Nina mpangoooo nina mpangoooo ----- nipe mpango...

yaani anadata kabisa; anashangilia kwa furaha kubwa haijalishi alikuwa kwenye mod gani; ngoma inasanuka pale tangazo linapokwisha inakuwa balaa; sebureni hapakaliki; atalia atalia ili tumwekee tena na mbaya zaidi anasusa kila kitu.

Sasa pamoja na pongezi kwenu najua mnapita pita humu basi niwekeeni hilo tangazo ni - download niwe namwekea hasa wakati wa kula maana ni mbishi hatari.

Natanguliza shukrani.
Hilo tangazo lipo youtube.....niliweka hapa nimefuta kwasababu itakuwa tunawatangazia Tigo bila malipo.
 
wabongo bana, mnawaza ngono tu - hivi mtaijenga kweli Tanzania ya viwanda?
Wabongo wanawaza ngono?au wewe ndo unae waza ngono...sizani kama hapo juu kwenye wino wangu kuna kiambatanishi au sababu ambayo imekufanya wewe ugundue kuwa wabongo wanawaza ngono.[emoji846][emoji846]
 
Kwanza hongera sana TIGO kubuni matangazo mazuri yenye mvuto na midundo asillia. Lakini sasa mmeniletea kizazaa nyumbani kwangu tena kikubwa.

Binti yangu wa mwaka mmoja akiliona tangazo lenu la "nina mpango" kwa Runinga inakuwa ni hatari ....

Nina mpangoooo nina mpangoooo ----- nipe mpango...

yaani anadata kabisa; anashangilia kwa furaha kubwa haijalishi alikuwa kwenye mod gani; ngoma inasanuka pale tangazo linapokwisha inakuwa balaa; sebureni hapakaliki; atalia atalia ili tumwekee tena na mbaya zaidi anasusa kila kitu.

Sasa pamoja na pongezi kwenu najua mnapita pita humu basi niwekeeni hilo tangazo ni - download niwe namwekea hasa wakati wa kula maana ni mbishi hatari.

Natanguliza shukrani.
ana umri gani?
 
Tangazo la Nina mpango no zuri hats kwangu na uzee huu,,napagawa
 
ana umri gani?

Kwanza hongera sana TIGO kubuni matangazo mazuri yenye mvuto na midundo asillia. Lakini sasa mmeniletea kizazaa nyumbani kwangu tena kikubwa.

Binti yangu wa mwaka mmoja akiliona tangazo lenu la "nina mpango" kwa Runinga inakuwa ni hatari ....

Nina mpangoooo nina mpangoooo ----- nipe mpango...

yaani anadata kabisa; anashangilia kwa furaha kubwa haijalishi alikuwa kwenye mod gani; ngoma inasanuka pale tangazo linapokwisha inakuwa balaa; sebureni hapakaliki; atalia atalia ili tumwekee tena na mbaya zaidi anasusa kila kitu.

Sasa pamoja na pongezi kwenu najua mnapita pita humu basi niwekeeni hilo tangazo ni - download niwe namwekea hasa wakati wa kula maana ni mbishi hatari.

Natanguliza shukrani.
 
Wajukuu zangu wanapenda tangazo la JF sijui lini litatoka
 
Mwenye clip aweke nasi tulione! Maana tushazoea redio tu
 
Kwanza hongera sana TIGO kubuni matangazo mazuri yenye mvuto na midundo asillia. Lakini sasa mmeniletea kizazaa nyumbani kwangu tena kikubwa.

Binti yangu wa mwaka mmoja akiliona tangazo lenu la "nina mpango" kwa Runinga inakuwa ni hatari ....

Nina mpangoooo nina mpangoooo ----- nipe mpango...

yaani anadata kabisa; anashangilia kwa furaha kubwa haijalishi alikuwa kwenye mod gani; ngoma inasanuka pale tangazo linapokwisha inakuwa balaa; sebureni hapakaliki; atalia atalia ili tumwekee tena na mbaya zaidi anasusa kila kitu.

Sasa pamoja na pongezi kwenu najua mnapita pita humu basi niwekeeni hilo tangazo ni - download niwe namwekea hasa wakati wa kula maana ni mbishi hatari.

Natanguliza shukrani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] nimecheka sana mkuu kuona huu uzi, mwanangu ni wa miaka 3, sasa yeye huwa akisikia mdundo wa hii ili tangazo huwa anachanganyikiwa kabisa atasitisha shughuli zote,kimbembe juzi kati hivi alikua anakula mara pah tangazo hilo ehh katika kurukaruka akatapika na ni ngumu kumzui kucheza, tigo tangazo ni zuri ila watoto wetu tunawapenda zaidi punguzeni munkali
 
Back
Top Bottom