Tigo mnachokifanya ni wizi

Tigo mnachokifanya ni wizi

Asu tz

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2011
Posts
336
Reaction score
86
Habar wakuu

Hichi ambacho wanakifanya tigo ni wiz, Haiwezekana ninunue kifurush cha mwez Tsh 10,000/= Mnanipa 600dk then hapo hapo mnataka nianze kuzitumia kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 12 asubuh 550dk
Screenshot_20200913-204847_Phone.jpg
 
Nilishaachanaga nao kitambo pamoja na promo zao....
 
Hivyo ni vifurushi vya Walinzi wa usiku, nadhani Walengwa wanavifurahia.
 
Hujaelewa ww acha kulalamika umepewa dkk 600 utumie mda wwte na zingine 550 za nyongeza ila zinatika Uck ss kelele za nn km dkk zako 600 Umepata hzo za nyongeza unalillia nn
 
Hujaelewa ww acha kulalamika umepewa dkk 600 utumie mda wwte na zingine 550 za nyongeza ila zinatika Uck ss kelele za nn km dkk zako 600 Umepata hzo za nyongeza unalillia nn
Kijana hajaelewaaa...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anawaza kuibiwaa tu muda woteee..
 
Kwangu wanakifurushi poa
 

Attachments

  • Screenshot_2020-09-13-21-11-48-1.png
    Screenshot_2020-09-13-21-11-48-1.png
    12.7 KB · Views: 8
Walengwa ni wanafunzi, longalonga na chombeza time!
 
Dk 600 ni sawa na 10hrs talk time, it’s no joke!

Kwa mwezi mmoja tu unaongea na simu sikioni kwa masaa 10+ una dili gani za maana?
 
Back
Top Bottom