TIGO mlipeni Gwajima

TIGO mlipeni Gwajima

Joined
Feb 21, 2015
Posts
28
Reaction score
41
image.jpg
Leo katika pitapita zetu tulipita karibu na viwanja vya Tanganyika Packers-Kawe penye ibaada za Gwajima, mbali na idadi ya maelfu ya watu lakini miamvuli mikubwa ya TIGO Ilionekana kujaa kwenye viwanja hivi.. Mnyonge mnyongeni lakini nadhani haki kidogo mpeni.. Nadhani hii ni Kampeni kubwa kwa Kampuni ya simu -TIGO.. walione hili wamlipe huyu maalim Gwajima kwa kuwatangazia soko lao🎉
image.jpg
 
Hahahahahahhahahahahahah wote ni wafanya biashara. Waache wapeane support
 
kwani ktk ya mkusanyiko huduma za kusajiri line,vocha, tigo pesa zinapatikana ...?!.

au wanakodi kuzuia jua !
 
ivi kwann Gwajima asijenge nyumba ya kuabudia?
anao waumini wangapi? kanini asiweke mchango wa jengo akajenga jengo la kuabudia?
sioni mantiki ya yeye kumiliki chopa wakati wanasali nje juani.

makanisa hata madogo yanamili majengo why not yeye? amekosa kiwanja manake naamini hata akienda kutafuta kiwanja cha kujenga majimatitu bado atapata waumini kwasababu watu bado wana kubali kuchungwa nae so ajenge kanisa
 
ivi kwann Gwajima asijenge nyumba ya kuabudia?
anao waumini wangapi? kanini asiweke mchango wa jengo akajenga jengo la kuabudia?
sioni mantiki ya yeye kumiliki chopa wakati wanasali nje juani.

makanisa hata madogo yanamili majengo why not yeye? amekosa kiwanja manake naamini hata akienda kutafuta kiwanja cha kujenga majimatitu bado atapata waumini kwasababu watu bado wana kubali kuchungwa nae so ajenge kanisa

Kwake yeye siyo kipaumbele, Wacha akusanye mauzo kwanza.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaah, Watu ni wachokozi kwa kweli
 
ivi kwann Gwajima asijenge nyumba ya kuabudia?
anao waumini wangapi? kanini asiweke mchango wa jengo akajenga jengo la kuabudia?
sioni mantiki ya yeye kumiliki chopa wakati wanasali nje juani.

makanisa hata madogo yanamili majengo why not yeye? amekosa kiwanja manake naamini hata akienda kutafuta kiwanja cha kujenga majimatitu bado atapata waumini kwasababu watu bado wana kubali kuchungwa nae so ajenge kanisa

hata kuwawekea maturubai yanayo hamishika hajafikilia watu wanapata tabu sana.. pole zao waumini
 
View attachment 234803
Leo katika pitapita zetu tulipita karibu na viwanja vya Tanganyika Packers-Kawe penye ibaada za Gwajima, mbali na idadi ya maelfu ya watu lakini miamvuli mikubwa ya TIGO Ilionekana kujaa kwenye viwanja hivi.. Mnyonge mnyongeni lakini nadhani haki kidogo mpeni.. Nadhani hii ni Kampeni kubwa kwa Kampuni ya simu -TIGO.. walione hili wamlipe huyu maalim Gwajima kwa kuwatangazia soko lao🎉
View attachment 234805

Ni vyema kufanya research ya jambo ili ukiliongelea linakuwa na hoja nzuri. Umesema umepita, nilidhani umeshuka hapo na kuongea na Gwajima au msaidizi wake akakupa maelezo ya kina maana umeshatoa hukumu yako kwamba mnyonye mnyongeni bila tathmini. Tunaomba uende hapo ukawaulize kwamba hiyo miamvuli wameipata wapi? Terms of agreement kama zipo na je waliombwa na tigo watangaze halafu hawalipwi na kama kuna mazingira yeyote yaliyopo hapo ndio tunaweza jadili kwa kina. Nawasilisha.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ni vyema kufanya research ya jambo ili ukiliongelea linakuwa na hoja nzuri. Umesema umepita, nilidhani umeshuka hapo na kuongea na Gwajima au msaidizi wake akakupa maelezo ya kina maana umeshatoa hukumu yako kwamba mnyonye mnyongeni bila tathmini. Tunaomba uende hapo ukawaulize kwamba hiyo miamvuli wameipata wapi? Terms of agreement kama zipo na je waliombwa na tigo watangaze halafu hawalipwi na kama kuna mazingira yeyote yaliyopo hapo ndio tunaweza jadili kwa kina. Nawasilisha.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

ni kweli mkuu.... mtu akafanye research kwa sababu sio bure wale watu wakae we unazani uongozi haulioni hilo so, ni vizuri kuuliza kwa msemaji wa lile kanisa kuliko kukurupuka na kuanzish uzi humu JF ambao hauna uhakika.......mi naamini kuna jambo wanalishughulikia ........ila yote ktk yote wale waumini wameonyesha kushikamana mno na mchungaji wao na wanaambatana sana...japokuwa tunawasema vibaya lakini ukweli tunauona pia.....kwikwikwikwikwikwi............
 
Back
Top Bottom