wana jf wenzangu naomba kuwauliza kwmb ni hili eneo nililiopo halina network au sehemu zote.toka saa kumi eneo hili network hakuna,pumbafu zao hajui wengine tunashughuli nyingi zinazotegemea simu.wanapoa hawa!
wana jf wenzangu naomba kuwauliza kwmb ni hili eneo nililiopo halina network au sehemu zote.toka saa kumi eneo hili network hakuna,pumbafu zao hajui wengine tunashughuli nyingi zinazotegemea simu.wanapoa hawa!
Almost jumamosi nzima hakuna netwok, watu tuna line moja tu..na yenyewe ni ya tigo halafu mnaleta ujinga wenu hapa..fungeni limtandao lenu kama hamuwezi toa huduma..nyambaf...au mnaitetea kwakua mnafanya kazi hapo??Mimi nafanya mpango kuwashtaki maana nimenunua umeme kwa tigo pesa toka tarehe 1may lakini mpaka leo hawajani2mia umeme na wananisumbua kila nikienda kuwaona, Wameniudhi sana