Tigo kwaherini

Simple nunua kitochi hamishia hizo number huko! Kula maisha na lIne zenye nafuu ulikotoa Tigo na Voda
 
Hapa hapa Dar kuna wengine wanaofa hiyo wengine hawana...Mimi waliitoa kwenye laini yangu ya kwanza nikajua wote...nilipokuja kujua wengine wanayo nikasajili laini nyingine.
Saiv ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…