kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,213
Hawa tigo biashara imewashinda, hivi kweli mtu ana shida, unapiga huduma kwa mteja, simu hawapokei na wanakata pesa kila unapowapigia hivi huu ni uungwana kweli. Tigo mfe salama, nahama mtandao wenu.
Na wenzangu wanaokerwa na Tigo naomba tuususie huu mtandao ili wajifunze kuheshimu wateja.
Na wenzangu wanaokerwa na Tigo naomba tuususie huu mtandao ili wajifunze kuheshimu wateja.