Bandugu huvi huu mtandao wetu wa TIGO umepatwa na balaa gani? Mim simu yangu out going call an in comng call hazipiti kwa simu yangu unaweza ukashinda na vocher mkononi unaingiza tangia asubuhi mpaka usiku baadhi ya maeneo ya DAR ishakuwa keloo kila wakti netwrk bussy ar no service wenzangu na nyinyi haya yamewakuta au mimi tu