Net nzuri ni vida ila ni wezi.Wakuu habarini
huu mtandao wa Tigo unasumbua sana kwny internet wiki ya tatu sasa, hii ni Shida kwangu mimi tu au ni wote?
Hakuna huduma ya TIGO inayofaa. Ni WA ovyo sana.... Huduma Kwa wateja ndio usiseme... Very ovyo !!Tigo leo inazingua upande wa Tigo pesa ...ukitaka kuongea na muhudumu skmu inajikata
Mkuu ni mtandao upi ambao sio wa hovyo hapa Tanzania?Wakuu habarini
huu mtandao wa Tigo unasumbua sana kwny internet wiki ya tatu sasa, hii ni Shida kwangu mimi tu au ni wote?
Nikeeli Tigo kwenye internet wako hovyo sana, mda mwingi inasoma E tu, nanunuaga bando la wiki najikuta linaisha bila kulitumia, nishahamaga mda tu, angalau Halotel kdg,Wakuu habarini
huu mtandao wa Tigo unasumbua sana kwny internet wiki ya tatu sasa, hii ni Shida kwangu mimi tu au ni wote?