BUFALO JF-Expert Member Jan 19, 2013 300 271 Jun 17, 2022 #1 Wakuu habarini huu mtandao wa Tigo unasumbua sana kwny internet wiki ya tatu sasa, hii ni Shida kwangu mimi tu au ni wote?
Wakuu habarini huu mtandao wa Tigo unasumbua sana kwny internet wiki ya tatu sasa, hii ni Shida kwangu mimi tu au ni wote?
Kingsmann JF-Expert Member Oct 4, 2018 4,448 16,313 Jun 17, 2022 #2 Karibu ttcl.... 2G yao ina nguvu kushinda 4G ya tiGo.
Exogenous Factor JF-Expert Member Nov 22, 2015 1,251 2,030 Jun 17, 2022 #4 Tigo Internet ni TakaTaka tu
Zeus1 JF-Expert Member Aug 24, 2017 6,993 8,917 Jun 17, 2022 #6 Nikajua ni kwangu tu inazingua,now natumia airtel..nawasoma kwanza.
emanuel kiwonyi JF-Expert Member May 1, 2015 263 220 Jun 19, 2022 #7 Hakuna mtandao mbovu Kama wa tigo Sasa ivi kwa upande wangu naitumia kwenye miamala ya pesa tu
Inside10 JF-Expert Member May 20, 2011 26,060 23,942 Jun 19, 2022 #8 BUFALO said: Wakuu habarini huu mtandao wa Tigo unasumbua sana kwny internet wiki ya tatu sasa, hii ni Shida kwangu mimi tu au ni wote? Click to expand... Wote tu ila uzuri wao unajiunga then pesa hawakati ... Kwa leo kutumia buku5 ninejiunga Mara 3
BUFALO said: Wakuu habarini huu mtandao wa Tigo unasumbua sana kwny internet wiki ya tatu sasa, hii ni Shida kwangu mimi tu au ni wote? Click to expand... Wote tu ila uzuri wao unajiunga then pesa hawakati ... Kwa leo kutumia buku5 ninejiunga Mara 3
SACO JF-Expert Member Jul 25, 2011 2,321 2,913 Jun 19, 2022 #9 Tatizo ni simu zenu, kwangu natumia simu ya mil 1 na laki 6 hamna tatizo. Kama unatumia simu cheap ya laki 8 hayo ndio matatizo
Tatizo ni simu zenu, kwangu natumia simu ya mil 1 na laki 6 hamna tatizo. Kama unatumia simu cheap ya laki 8 hayo ndio matatizo
Vesper-valens JF-Expert Member Mar 6, 2020 5,280 7,375 Jul 1, 2022 #10 Huu mtandao leo siuelewi ...Upande wa tigo pesa inakataa kabisa