Tigo internet ipo hovyo sana

BUFALO

JF-Expert Member
Jan 19, 2013
300
271
Wakuu habarini

huu mtandao wa Tigo unasumbua sana kwny internet wiki ya tatu sasa, hii ni Shida kwangu mimi tu au ni wote?
 
Nikajua ni kwangu tu inazingua,now natumia airtel..nawasoma kwanza.
 
Wakuu habarini

huu mtandao wa Tigo unasumbua sana kwny internet wiki ya tatu sasa, hii ni Shida kwangu mimi tu au ni wote?
Wote tu ila uzuri wao unajiunga then pesa hawakati ... Kwa leo kutumia buku5 ninejiunga Mara 3
 
Tatizo ni simu zenu, kwangu natumia simu ya mil 1 na laki 6 hamna tatizo. Kama unatumia simu cheap ya laki 8 hayo ndio matatizo
 
Back
Top Bottom