Tigo huduma zenu na gharama tofauti

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,546
2,989
Yaani hakuna mtandao wa unaoiba pesa za watu kama tigo, juzi nimeweka 500 nilikuwa naangalia wanavyokata hivyo mpaka imeisha, huduma za tigopesa gharama IPO huu, mikopo yenu inagharama Sana riba asilimia 11% ni kubwa mnoo.

Mb ndiyo kabisa yaani mnaboa and soon I will be out of services.
 
Kwenye voice calls wanazingua mno. Yaani kumpigia mtu mkashindwa kuelewana ni jambo la kawaida na sijui kwa nini hawaliangalii hili. Mtu anakupigia unaongea sekunde tano halafu humsikii tena. Ukiangalia wao wameshachukua chao.

Rekebisheni hili tatizo!!
 
Back
Top Bottom