Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,546
- 2,989
Yaani hakuna mtandao wa unaoiba pesa za watu kama tigo, juzi nimeweka 500 nilikuwa naangalia wanavyokata hivyo mpaka imeisha, huduma za tigopesa gharama IPO huu, mikopo yenu inagharama Sana riba asilimia 11% ni kubwa mnoo.
Mb ndiyo kabisa yaani mnaboa and soon I will be out of services.
Mb ndiyo kabisa yaani mnaboa and soon I will be out of services.