Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
mkuu tatizo sio speed tatizo hawana bundle ya unlimited inayokuryhusu utumie kwa hio speed hadi uwachakachue
ndio tuwachakachue tu!!!,hamna shida.
mkuu tatizo sio speed tatizo hawana bundle ya unlimited inayokuryhusu utumie kwa hio speed hadi uwachakachue
mkuu tatizo sio speed tatizo hawana bundle ya unlimited inayokuryhusu utumie kwa hio speed hadi uwachakachue
kwani ile bundle ya ef 25 sio unlimited? anyone?
Hiyo ya dashboard co kitu kwa tigo inaweza soma 4mbps halaf real dowload unakuta inacheza 300-400 wakati voda ikisoma hata 2mbps speed inacheza 700-800
hiyo speed naipataga kwenye airtel tu..
hiyo speed naipataga kwenye airtel tu..
Airtel ilikuwa inabamba zama zile sasa hamna kitu kaka!!!tuwekee screen shot ya Airtel mkuu
Mkuu Kimox Kimokole mimi hawa jamaa wa Tigo nawapata kama inavyoonekana kwenye dashboard na IDM ila bado cha mtoto sana kumfikia voda
View attachment 97904
View attachment 97905
Wanauzi zaidi wanapopunguza kasi why hawaachi nimalize bando na kasi yake?