Kakashi uchiha
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 604
- 415
Hiki ndicho nlichogundua
same here hata 1mbps kufika tabu, wakati 4g tigo ni 10mbps kupanda juuHiyo halotel yenu hapa dar naweza chemsha maji yakachemka kabula page haijafunguka. Naombeni mwenye uzi wao hapa
Nakubaliana naweNi kweli kwa dar Halotel huifaidi. Nenda mkoa ndio utajua raha yake
Tigo mtandao wa kariakooHiyo halotel yenu hapa dar naweza chemsha maji yakachemka kabula page haijafunguka. Naombeni mwenye uzi wao hapa
ilipokua inaanza hata hapa dar ilikua vizuri ila kwa sasa washatepeta.Ni kweli kwa dar Halotel huifaidi. Nenda mkoa ndio utajua raha yake
Nahisi subscribers wa halotel hapa dar ni wengi kuzid uwezo wa vifaa vyao. Kipindi wanaanza hawakuwa hivi..same here hata 1mbps kufika tabu, wakati 4g tigo ni 10mbps kupanda juu
Waombe radhi Halotel...Hiki ndicho nlichogundua
Bro kumbe wewe ni mdau wa piano?![]()
4g tigo hio, speed kubwa hadi kitunda napata sio kkoo tu
ushahidi?Napata 20mbs kwa halotel huku zanzibar
hapana hilo ni Tangazo tuBro kumbe wewe ni mdau wa piano?
Nilishaachana na vodacom niko Halotel miezi 7 iliyopita, full burdani. Ukigusa tu......Ni kweli kwa dar Halotel huifaidi. Nenda mkoa ndio utajua raha yake