Tigo 4g ( 1 )vs halotel 3g( 3)

Tigo 4g ( 1 )vs halotel 3g( 3)

Screenshot_20160823-182738.png


Mnaionea halotel bure hiyo ndio spidi yangu ya kila siku tena tabata ndani ndani huku mnara upo mbali kichizi, yani kwa kitaaa kwetu inapishana na Tigo 4g 7mbps tu..
 

Attachments

  • Screenshot_20160823-182738.png
    Screenshot_20160823-182738.png
    242.5 KB · Views: 66
same here hata 1mbps kufika tabu, wakati 4g tigo ni 10mbps kupanda juu
Nahisi subscribers wa halotel hapa dar ni wengi kuzid uwezo wa vifaa vyao. Kipindi wanaanza hawakuwa hivi..
Mitandao yote hapa kwetu huwa nawaaminia voda tu
 
Binafsi nipo mkoa tena kusini kabisa mwa Tanzania. Nimejaribu mitandao yote iliyopo huku na kimsingi halotel wapo juu ukiwatoa TTCL, sababu hakuna mtandao utakaokupa uwezo wa kustream bila kustack hasa nyakati za mchana isipokua Hao jamaa.
 
Back
Top Bottom