Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,666
- 13,146
Ellin whatever her name is, is a golddigger period. If Tiger is/was a cheater she is/was a cheater 2. Hakuna anayefahamu nini kilimfanya Tiger afanye aliyoyafanya. Wanawake wakishaingia kwenye ndoa wanakuwa na viburi sana huyu ni mojawapo. Kama Tiger alikuwa hatendewi haki na mkewe mlitaka afanye nini? Kuachana haikuwa suluhisho la tatizo hasa ukizingatia kuna watoto Ellin alipashwa atafakari kabla ya kufanya maamuzi yeye anafikiri amepata deep down amepatikana atakula jeuri yake. Pesa ni matokeo unazo leo kesho huna asifikiri pesa ni kila kitu katika maisha. Tiger atarudi kwenye ulingo wa golf kwa kasi kubwa tu. The guy has been thru alot mwacheni awe huru..Go Tiger Go.