Mwanamwana
Platinum Member
- Aug 1, 2011
- 9,604
- 22,713
Sporah: "hapa watu wanasema TID amepungua sana, kitu ambacho kinasikitisha amekuwa kama mtoto mdogo, kama ni pombe basi utakuwa unakunywa sana"
TID: sometimes i need to be who i want to be, no body tell me unapungua au haupungui, i wanna be flexible with my music with my work, i think this is the good look i need to look, i dont wanna be like any body, i wanna be special, am feet am healthy, i dont care what people think about me.
Sporah: but we care about you!
TID: its my weight, my life my health, if am good am good
Sporah: do u think you have a good health at the moment
TID: yeah am fine, am healthy
Sporah: i dont think your healthy though?
TID: are you my doctor? are you trying to be my doctor...
Ni kweli ungejenga chuki, huyo dada watamtenga na kuanza kumwita snitch. mwamajinja mapunga kwa bahati mbaya hakutaja jina la sporahNimelazimika kufuata busara za SUPU YA MAWE. Kwa sababu nimeona na-reveal sana taarifa ambazo zilikuwa ni off-record, kitu ambacho kingeweza kujenga chuki baina ya msanii husika na watajwa. Asante pia kwa ushauri wako!
Itoshe!
Jina usitoe coz youtube hiyo kitu ipo. Watanzania tuache uoga. Angalieni watu wa TMZ wanavyochana makavu live. Nyie vipi bhanaa. Aaaghhhr
Kwa hapa TID anatisha mno kivipi dogo??? Na hiyo ngada ni mdudu gani?
Tuondolee uharo hapa bwana.
Hata ray c akitaka kuwasaidia wanamtukana na kumpiga, sasa tutafanyaje?
Mleta thread yupo sahihi kabisa.TID kaharibika kwa sababu ya unga.Nilibahatika kuona show ya sporah alipokuwa hewani na TID,ni majanga na aibu.Mostly akiguswa kuhusu personal life alikuwa mkali kama Simba duh.Pia hata kiafya hayupo njema kabisa.In short the celebrity has all signs of teja.Tumuombee,Mungu amsaidie for sure.
Binafsi, nilibahatika kukutana na msanii wa kike wa kurap aliyewahi kutamba enzi hizo (jina nalisitiri), maana alihamia kwa muda jirani na nyumba niliyokuwa naishi last year. She is too talkative, na ni aina fulani ya watu ambao ni rahisi sana kuzoeana nao, so tulizoeana na nilifanikiwa kumuuliza masuala flani flani hivi kuhusu Muziki na wasanii...
Katika maelezo ya bidada huyu, alisema wasanii wengi wanatumia ngada. Wengi sana. Na alisema muda ukifika tutawaona dhahiri. Nikamuuliza kwani wewe hujawahi kushtua? Akakataa kata kata, akadai yeye ana vitu vyake tu, ila ngada anaiheshimu kupindukia, anaiogopa kama Ukoma!
Hakuishia hapo, alisema wengi pia ni waathirika wa HIV, na alinitajia mpaka majina (nayahifadhi), na akasema muda ukifika kila kigawe lazima kitaguswa. Alikuwa akisisitiza Muda tu. Kwamba kila kitu kitakuwa wazi muda ukifika!
Kuhusu TID pia nilimuuliza...Hakunijibu, lakini akasema 'Kinondoni haifai'.. Alinitolea mifano mingi na ushahidi mwingi kuhusu wasanii wa Kinondoni coz yeye mwenyewe alitokea huko. Alitaja historia na matukio. Aliwataja mpaka wanasiasa wakubwa na wafanyabiashara wakubwa wenye majina (huwezi kuamini) ambao wamechangia kwa kiwango kikubwa kuwaharibu wasanii..
Itoshe!
Binafsi, nilibahatika kukutana na msanii wa kike wa kurap aliyewahi kutamba enzi hizo (jina nalisitiri), maana alihamia kwa muda jirani na nyumba niliyokuwa naishi last year. She is too talkative, na ni aina fulani ya watu ambao ni rahisi sana kuzoeana nao, so tulizoeana na nilifanikiwa kumuuliza masuala flani flani hivi kuhusu Muziki na wasanii...
Katika maelezo ya bidada huyu, alisema wasanii wengi wanatumia ngada. Wengi sana. Na alisema muda ukifika tutawaona dhahiri. Nikamuuliza kwani wewe hujawahi kushtua? Akakataa kata kata, akadai yeye ana vitu vyake tu, ila ngada anaiheshimu kupindukia, anaiogopa kama Ukoma!
Hakuishia hapo, alisema wengi pia ni waathirika wa HIV, na alinitajia mpaka majina (nayahifadhi), na akasema muda ukifika kila kigawe lazima kitaguswa. Alikuwa akisisitiza Muda tu. Kwamba kila kitu kitakuwa wazi muda ukifika!
Kuhusu TID pia nilimuuliza...Hakunijibu, lakini akasema 'Kinondoni haifai'.. Alinitolea mifano mingi na ushahidi mwingi kuhusu wasanii wa Kinondoni coz yeye mwenyewe alitokea huko. Alitaja historia na matukio. Aliwataja mpaka wanasiasa wakubwa na wafanyabiashara wakubwa wenye majina (huwezi kuamini) ambao wamechangia kwa kiwango kikubwa kuwaharibu wasanii..
Itoshe!
Umofia kwenu wanaJF,
Huwa sipendi kuzungumzia afya za watu,ukweli kwamba nakuwa sina vithibitisho vya ushahidi lakini kwa hili la TID naomba kulizungumzia.
Wiki mbili zilizopita niliudhuria sherehe ya THT kutimiza miaka 10, Venue ilikuwa Escape1, pale Mlalakuwa karibu na jeshi.
Wakati nipo kwenye mishe zangu za kucheki wachuchu nikakutana na mnyama TID,kwanza nilishangaa kumuona kwa jinsi alivyokuwa kakonda na mwenye wasiwasi.
Nilijaribu kumsogelea ili kumdadisi vyema lakini nikashtushwa na harufu ya pombe maarufu kama kiroba na alikuwa kashika glasi fulani aliyokuwa kahifadhia hiyo kitu.
Yaani muda wote TID alikuwa mtu wa kujitenga (Mpweke) peke yake huku akiwa na wasiwasi,Muda mwingi alikuwa akijikuna mikono,mashavu na sehemu ya shingo.
Kwa uzoefu wangu wa watumiaji ngada bila shaka jamaa alikuwa anasumbuliwa na madawa ya kulevya na pale alikuwa arosto.
Kwanza afya yake ni dhaifu sana alafu uso umechoka balaa na ana madoa doa mengi usoni.
PLS, watu wake wa karibu wangejitahidi kumsaidia TID, tutampoteza kama wale wale tuliowapoteza kwa matumizi haya ya ngada.
Alafu jamaa ni mtata sana ukimhoji kuhusu kutumia madawa ya kulevya.
Mwisho nawaomba msamaha wapenzi wa TID kwa kumsema vibaya ila kwa nia njema.
Wasalaam.
========
Hii ni interview ya TID na Sporah, TID alimind sana alipoulizwa kuhusu afya yake na matumizi ya madawa ya kulevya na unywaji wa pombe kupitiliza.