Ticts jobs

Mmh! Hivi Mkuu ungeendelea na kazi ungeleta malalamiko hapa JF kweli? Nipo tofauti kidogo samahani Mkuu.
 
Mmh! Hivi Mkuu ungeendelea na kazi ungeleta malalamiko hapa JF kweli? Nipo tofauti kidogo samahani Mkuu.

Nadnai kama wangemwambia mshahara kiasi gani asingelalamika. Hapa issue ni uonevu aliofanyiwa na kama siyo unyanyasaji. Huwezi mfukuza mtu kazi kisa kauliza mshahara. Na ndiyo maana hakuna mikataba waliyosign lasivyo angewashitaki wamlipe mpaka mkataba unapoisha. Kuuliza msahara siyo kosa maana hiyo ndiyo determinant ya wewe kukubali kuajiliwa ama lah.. Kuna watanzania wengi wanaajiriwa na makampuni hata ya kigeni bila hata ya ku negotiate mshahara. Matokeo yake wanakuwa underpaid alafu wanalalamika. Kama kungekuwa na umoja wote waulize bila shaka. Ingekuwa fundisho kwa kampuni hiyo kuto fanya huo unyanyasaji waliomfanyia mwenzetu. Yote ni yote ninampongeza kwa ujasiri aliouonyesha.
 
Nadnai kama wangemwambia mshahara kiasi gani asingelalamika. Hapa issue ni uonevu aliofanyiwa na kama siyo unyanyasaji. Huwezi mfukuza mtu kazi kisa kauliza mshahara. Na ndiyo maana hakuna mikataba waliyosign lasivyo angewashitaki wamlipe mpaka mkataba unapoisha. Kuuliza msahara siyo kosa maana hiyo ndiyo determinant ya wewe kukubali kuajiliwa ama lah.. Kuna watanzania wengi wanaajiriwa na makampuni hata ya kigeni bila hata ya ku negotiate mshahara. Matokeo yake wanakuwa underpaid alafu wanalalamika. Kama kungekuwa na umoja wote waulize bila shaka. Ingekuwa fundisho kwa kampuni hiyo kuto fanya huo unyanyasaji waliomfanyia mwenzetu. Yote ni yote ninampongeza kwa ujasiri aliouonyesha.
Great Thinker....tuendelee kuelimishana!!!
 
pole sana mdau, inauma sana, watanzania tuwe na msimamo ili tujenge nchi yetu,waajiri wanatunyanyasa sana..............inaumaaaaaaaaa!
 
Wana JF kwani nitangulize shukrani zangu kwa ushirikiano weenu wa kila cku, nitakuwa tofauti kidogo na hisia zenu kutokana na heading ila lengo ni moja tu kusaidiana maisha maggumu kama hayo
Kuna kampuni Inaitwa Lukundo Co. ltd ni agent wa TICTS hapa bandarini kitengo cha uhakiki wa mizigo yani Tallying, Bahati nzuri jamaa (Lukundo) walitangaza kazi za Tallying Clerk nikaomba na nikapata japo pia zoezi lilitawaliwa na Rushwa,chakushangaza na kilichofanya ni post hii thread ni kuwa leo yani tarehe 22/04/2011 tuliambiwa tuanze kazi na mpaka hapo tukawa hatujaambiwa mshahara ila mbaya zaidi mimi nimefukuzwa kazi eti KISA nimeuliza mshahara ni kiasi gani?, hivyo nimepoteza kazi na wote zaidi ya 80 walioajiliwa mpaka sasa wameanza kazi ila hawajaambiwa mshahara ni kiasi gani na hakuna mkataba, eti hili ndilo soko la ajira,Mtu anaeenda kufanya kazi ya kuidhinisha na kukagua mizigo ya Billions of shillins anaanza kazi bila mkataba wala kujua mshahara?, ni hatari sana hivyo TICTS kuweni macho sana na hizi kampuni mnazozipa kazi
Naomba kuwasilisha!!!

Kwa mara nyingine nakushangaa sana mkuu.

Hapa aliyekuajiri na kutokukuambia mshahara wako ni TICTS au Lukundo?...Hapa naona unawaonea TICTS bure. Wabaya wako ni hao LUKUNDO.

H
 
Kwa mara nyingine nakushangaa sana mkuu.

Hapa aliyekuajiri na kutokukuambia mshahara wako ni TICTS au Lukundo?...Hapa naona unawaonea TICTS bure. Wabaya wako ni hao LUKUNDO.

H
Understood!!!!!!!!
 
Pole sana kaka!
Mlango mmoja ukifungwa 100 zaidi inafunguliwa.
We jitahidi upate jinsi ya kutumia hiyo milango mingine.
Usikate tamaa ndugu, tuko pamoja!
 
Nahisi kama kuna tatizo la kutoelewana hapa.Tukiangalia hali halisi kabla ya kuangalia hizi hoja fupi, hivi ni kweli kuuliza mshahara ni dhambi? So ukiuliza siyo mfanyaji kazi,ni mchunguzi.....Kwani umetumwa na nani wewe? Hizi akili za aina hii ndiyo zinafanya hii nchi inakuwa na hali mbaya!Can we have you thinking at you max before posting please? Thanks
Ferds; mbona wa kusurf na kupost unao? Jamani kuweni wakweli saa nyingine. Sisi wa TZ wakati mwingine tumejijengea tabia ya uvivu au ya kujivuta na mtu akiwa makini kuhakikisha mtu analipwa haki yake (unalipwa ulichofanyia kazi) tunalalamika.

Jaxx kwa ishu ya LUKINDO pole, labda wamekugundua kuwa ulikuwa si mfanyaji kazi labda ulijipenyeza kuwachunguza kama inavyoonekana!!!
 
Asprin hata hao TICTS Siyo wasafi.In case you have forgetten waliingia kirushwamizengwe. So mie naona unawakingia kifua nyani kwa kigezo cha "waliokula ni tumbili"
Kwa mara nyingine nakushangaa sana mkuu.

Hapa aliyekuajiri na kutokukuambia mshahara wako ni TICTS au Lukundo?...Hapa naona unawaonea TICTS bure. Wabaya wako ni hao LUKUNDO.

H
 
You will not regret for being fired before even starting the job.
 
Nanu wewe ni fisadi wa kwanza humu, inawezekana wewe ni ndiyo Msukule wa hiyo kampuni. Kama umekuja humu kutetea ujinga wa hiyo kampuni yako, tunakukemea kwa jina lipitalo majina yote!

Alichosema ni kweli na kama unawafahamu hao watu wapelekee hiyo message warekebike.
 
Back
Top Bottom