TIC: Tanzania Cashewnut International Investment Forum Mtwara.

1152050
 
Nakubaliana, uwepo wa rais siku zote ni muhimu popote anapokuwepo, lakini hii haizuii wawekezaji kufaham mazingira ya biashara ya korosho kama nchi tunataka yawe ya namna gani.

Sera zetu zipo wazi katika utekelezaji pia,viongozi wa wizara wapo pia.
Hakuna cha sera unapopanga bei wewe serikali na kuamuru serikali inunue korosho unategemea nani aje kuwekeza????
Hakuna atakaye kopa mwaka huu benki kuja kununua korosho wamepata hasara kubwa.
Pia unaaposema mkulima alipwe pesa yote asikatwe kitu jee yule aliyemkopesha pembejeo pesa zake amedhulumiwa???
MAZINGIRA SII MAZURI YAA UWEKEZAJI TANZANIA HALALI LEO KESHO HARAMU KISA MAAMUZI YA KISIASA
 
Sasa najiuliza, kuna mkakati gani wa kuuza zile korosho za Takriban trillion 1 kabla hazijaharibika?
 
Yaani tangia Jiwe kuu amfukuze kazi yule mama Juliet Kairuki aliyekuwa huyu TIC kwa kutokupokea mshahara wake basi tena TIC imekuwa ya kipumbavu na kijinga.

Hakuna weledi, ushawishi, mbinu n.k hapo mmeitana mlipane posho kisha kina Mwambe watoe risala ndefu mwisho kila mtu aende nyumbani end of story
Watu wa kusini wanasemaga hukuna la maana..
 
Back
Top Bottom