Tiba ya nguvu za kike

Tiba ya nguvu za kike

DLc

Member
Joined
Oct 21, 2024
Posts
26
Reaction score
22
by reallygreatsite_20241028_105352_0000.png
 
Wanawake nao wawe bize... wapate dawa wanatuchosha sana masela!
 
  • Thanks
Reactions: DLc
ungefafanua basi bushdokta
Mwanamke anayekabiliwa na upungufu wa nguvu za kike (kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa anapaswa kuingeza masaa ya kulala ili arejeshe mwili katika hali yake
 
Kwa hiyo ukiwapea dawa ya usingizi tu wanakuwa ngangari kunako 6x6 ?!
Hapahitaji dawa ya usingizi, anatakiwa apate usingizi wa kawaida ifanyike kama reaction ya mwili, alipewa dawa ya usingizi anakuwa anatengeneza reaction nyingine mwilini tofauti na ilivyokusudiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom