Ukisikia gono dume ndio hilo mkuu, huwa halina dawa mpaka unaingia nalo kaburini. Jamani, huu ukicheche noma, yaani watu wanaimba condomisation we wala huna habari, ona sasa unavyolikaribia kaburi. Gono dume halina dawa mkuu umeshakwisha wewe na ukizubaa likishafika kwenye prostate ndo hivyo tena utakuwa mwanaume suruali.
Pole sana mkuu!