Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,508
- 830,009
Nipende kwanza kujivunia kwa mada ya tiba mbadala ya chumvi ... Sijivunii kwa wingi wa wachangiaji la hasha bali kwa mada husika kuwa msaada mkubwa kwa wengi mno... Tiba ile imewasaidia hasa kwenye
Kutopatwa na mauzauza tena
Kuota ndoto mbaya na za kuogofya
Kupata usingizi mororo
Kukingwa na nguvu hasi za kiroho
Kusafisha nyota zilizofifia
Kutakasa miili iliyokuwa imechafuliwa
Kuboost CD4 za kiroho
Kuleta mvuto
Kuondoa uchovu na kuleta uchangamfu, furaha na amani mioyoni
Baada ya hapo ilifuatia mada ya mrejesho : yatokanayo na tiba mbadala ya chumvi hii ilikuwa maalum kwa ajili ya ufafanuzi namna ya kuitumia chumvi vizuri kwa matokeo bora zaidi... Lakini vilevile kwa wale wenye shuhuda mbalimbali ambao wangependa kushare na wengine....
Hii ni sehemu ya tatu na ya mwisho kuhusiana na hii tiba mbadala ya chumvi... Kwa usahihi zaidi chumvi ya mabonge... Hivyo mwenye swali la ziada, hoja ama maoni bado anakaribishwa kuhusiana na kile nitakachoandika hapa ama kwenye mada zilizotangulia...
Wengi wetu wamekuwa wakidhani kuwa tiba mbadala ya chumvi ina dozi maalum hivyo kutamani kujua kwa hakika wanaweza kutumiaje, kwa kiasi gani na hata kwa muda gani....
Kwenye mada zilizotangulia nilishauri matumizi yawe kati ya wiki moja mpaka mwezi mmoja.... Lakini ningependa kusema hivi... IFANYE CHUMVI SEHEMU YAKO YA KUDUMU...
Kama hujawahi kuitumia chumvi basi kwa mara ya kwanza ni kiwiko kimoja cha mkono kwenye ndoo ya maji ya lita 20... Huhitaji kuikoroga bali utaoga na sabuni maji ya juu kisha yale ya mwisho yenye chumvi ndio utatumia kujisuuzia huku ukiyanenea na kunuia utakayo.
Kama ni nyumbani ama ofisini basi nyunyiza ama mwagia kuzunguka eneo husika.. Na kwa kuogea unaweza kufanya hivyo kwa mwezi mzima bila kukosa.
Baada ya hapo ifanye chumvi sehemu yako ya maisha kama ilivyo simu yako, sabuni yako, lotion yako nknk.. Hakikisha chumvi haikosekani na unapoitumia kuogea si lazima uweke kiwiko kizima la hasha bali hata punje mbili tatu zinatosha kabisa.. Usiache kuwa nayo nyumbani, chumbani, ofisini kwenye gari na hata kwenye mkoba..
Chumvi ya mabonge ni tiba rahisi isiyo na miiko, isiyo na maagano isiyo na masharti, nafuu ya bei na rahisi kuitumia.... Usiipuuze wala kuidharau... Imewafaa wengi na haina uhusiano na ushirikina wala uchawi...
ANGALIZO muhimu: Ukiona kwako haijafanya kazi tarajiwa usiichukulie haifai bali nayo ni tiba kama tiba nyingine.... Inaweza kumsaidia mmoja na mwingine isimsaidie... Japo naamini asilimia 95 inafanya vizuri
Soma
Sehemu ya KWANZA
MREJESHO
Kutopatwa na mauzauza tena
Kuota ndoto mbaya na za kuogofya
Kupata usingizi mororo
Kukingwa na nguvu hasi za kiroho
Kusafisha nyota zilizofifia
Kutakasa miili iliyokuwa imechafuliwa
Kuboost CD4 za kiroho
Kuleta mvuto
Kuondoa uchovu na kuleta uchangamfu, furaha na amani mioyoni
Baada ya hapo ilifuatia mada ya mrejesho : yatokanayo na tiba mbadala ya chumvi hii ilikuwa maalum kwa ajili ya ufafanuzi namna ya kuitumia chumvi vizuri kwa matokeo bora zaidi... Lakini vilevile kwa wale wenye shuhuda mbalimbali ambao wangependa kushare na wengine....
Hii ni sehemu ya tatu na ya mwisho kuhusiana na hii tiba mbadala ya chumvi... Kwa usahihi zaidi chumvi ya mabonge... Hivyo mwenye swali la ziada, hoja ama maoni bado anakaribishwa kuhusiana na kile nitakachoandika hapa ama kwenye mada zilizotangulia...
Wengi wetu wamekuwa wakidhani kuwa tiba mbadala ya chumvi ina dozi maalum hivyo kutamani kujua kwa hakika wanaweza kutumiaje, kwa kiasi gani na hata kwa muda gani....
Kwenye mada zilizotangulia nilishauri matumizi yawe kati ya wiki moja mpaka mwezi mmoja.... Lakini ningependa kusema hivi... IFANYE CHUMVI SEHEMU YAKO YA KUDUMU...
Kama hujawahi kuitumia chumvi basi kwa mara ya kwanza ni kiwiko kimoja cha mkono kwenye ndoo ya maji ya lita 20... Huhitaji kuikoroga bali utaoga na sabuni maji ya juu kisha yale ya mwisho yenye chumvi ndio utatumia kujisuuzia huku ukiyanenea na kunuia utakayo.
Kama ni nyumbani ama ofisini basi nyunyiza ama mwagia kuzunguka eneo husika.. Na kwa kuogea unaweza kufanya hivyo kwa mwezi mzima bila kukosa.
Baada ya hapo ifanye chumvi sehemu yako ya maisha kama ilivyo simu yako, sabuni yako, lotion yako nknk.. Hakikisha chumvi haikosekani na unapoitumia kuogea si lazima uweke kiwiko kizima la hasha bali hata punje mbili tatu zinatosha kabisa.. Usiache kuwa nayo nyumbani, chumbani, ofisini kwenye gari na hata kwenye mkoba..
Chumvi ya mabonge ni tiba rahisi isiyo na miiko, isiyo na maagano isiyo na masharti, nafuu ya bei na rahisi kuitumia.... Usiipuuze wala kuidharau... Imewafaa wengi na haina uhusiano na ushirikina wala uchawi...
ANGALIZO muhimu: Ukiona kwako haijafanya kazi tarajiwa usiichukulie haifai bali nayo ni tiba kama tiba nyingine.... Inaweza kumsaidia mmoja na mwingine isimsaidie... Japo naamini asilimia 95 inafanya vizuri
Soma
Sehemu ya KWANZA
MREJESHO
Kwenye mada yetu ya tiba ya chumvi kumekuwa...

