Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Unameza Kama dawa...ukimaliza bleed..ukichelewa imekula kwakoMkuu unatafuna au unameza mbegu zake??
Unameza Kama dawa...ukimaliza bleed..ukichelewa imekula kwakoMkuu unatafuna au unameza mbegu zake??
Unameza Kama dawa...ukimaliza bleed..ukichelewa imekula kwako
Mbegu moja tu monthly ukitoka mpOk unameza Kwa siku ngap mkuu
Mbegu moja tu monthly ukitoka mp
UbarikiweMbegu moja tu monthly ukitoka mp
LolNaujua Sana Sana nishawahi kunywa hizo mbegu kuzuia mimba
Simply ... Kanunue mafuta ya nyonyo katika maduka ya dawa za asiliYanatumikaje mkuu??
Kama ni mmea ukitumia kama dawa kisha ukarudia kupata huo ugonjwa uliye jiambukiza unakufa basi huo mnyonyo haufai kuwa ni dawa huo mmea bora usiweke kabisa matumizi yake.Habari Tanzania!
Wataalamu wa afya, uchumi na fedha, watafiti na wapenda biashara na maendeleo wote kwa pamoja naomba muwasaidie watanzania wamechoka na magonjwa sugu na kuwa walemavu pasipo sababu...
Tayari nimeshaelezea post ya 47Dadavuwa kidogo!
Bro hebu elezea mtumizi yaweje ili kuzuia mimbaMbegu zake zinazuia mimba..sio kurahisisha kuzaa! Unakunywa monthly