Tia acheni ubabaishaji na vyeti vya watu.

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,314
13,278
kuna dogo amemaliza chuo cha uhasibu dsm,mwaka jana,akawa amechukua statement of results.jana anakwenda kufuatilia cheti,anaambiwa hapa cheti ni kuanzia miaka 3 ijayo!ndio vitakuwa vimetoka!na waajiri wengi huwa hawaziamini hizi transcript.sasa hii inakuwaje?
 
mwambie dogo atulie, sie wa 2010 bado hatujapata! lakini tumeajiriwa na hzo transcript maisha yanaenda.
 
Back
Top Bottom