white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,278
kuna dogo amemaliza chuo cha uhasibu dsm,mwaka jana,akawa amechukua statement of results.jana anakwenda kufuatilia cheti,anaambiwa hapa cheti ni kuanzia miaka 3 ijayo!ndio vitakuwa vimetoka!na waajiri wengi huwa hawaziamini hizi transcript.sasa hii inakuwaje?