Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Mara kadhaa nimesoma katika magazeti Majina na maana yake.
Huwa inafuirahisha sana unapogundua jina la mtu na maana yake.
Napendekeza tutumie thread hii KUULIZIA na KUJULISHA majina na maana zake.
Wataalamu tujulisheni.
ANZENI na jina hili JOHN.
Huwa inafuirahisha sana unapogundua jina la mtu na maana yake.
Napendekeza tutumie thread hii KUULIZIA na KUJULISHA majina na maana zake.
Wataalamu tujulisheni.
ANZENI na jina hili JOHN.