THREAD ya MAJINA na MAANA

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Nov 30, 2008
1,518
22
Mara kadhaa nimesoma katika magazeti Majina na maana yake.
Huwa inafuirahisha sana unapogundua jina la mtu na maana yake.
Napendekeza tutumie thread hii KUULIZIA na KUJULISHA majina na maana zake.

Wataalamu tujulisheni.

ANZENI na jina hili JOHN.
 
Mara kadhaa nimesoma katika magazeti Majina na maana yake.
Huwa inafuirahisha sana unapogundua jina la mtu na maana yake.
Napendekeza tutumie thread hii KUULIZIA na KUJULISHA majina na maana zake.

Wataalamu tujulisheni.

ANZENI na jina hili JOHN.

Mimi naona mada ni nzuri,ila naomba tuanze na jina lako mwenyewe !!!!!
 
Mada nzima inaweza kufupishwa na link hii. hapa kila jina utajua lina maana gani mradi liwe limeshafanyiwa research. Kama haumo humu jua jina lako bado halijulikani. Cha kufanya kwenye link hiyo, usiingize chochote click "submit" kama inakupa option ya kuserch, then anza kudadavua majina. Otherwise majina yatatokea moja kwa moja

Baby name search results
 
Mara kadhaa nimesoma katika magazeti Majina na maana yake.
Huwa inafuirahisha sana unapogundua jina la mtu na maana yake.
Napendekeza tutumie thread hii KUULIZIA na KUJULISHA majina na maana zake.

Wataalamu tujulisheni.

ANZENI na jina hili JOHN.

click JOHN
 
Back
Top Bottom