Thomas Nyimbo, ajitoa CHADEMA!

Wasomaji,

Kuna wakati mambo yanapotokea yanatupa wakati mzuri wa kujifunza. Napata kujifunza kuwa Mzee wangu nyimbo hana msimamo na wala kusema kuwa yeye amezaliwa kuwa kiongozi silioni hilo kwake. Ningefurahi sana kusikia jitihada zake alizo zifanya kuona kama kweli kuna matatizo ndani ya CDM kayatatua, mtu anayependa kuwepo sehemu kwa kuwa tu mambo yanakwenda vizuri sidhani kama anapaswa kuwa kiongozi wetu, ningetarajia kuwa atuonyeshe njia na hasa tukitambua kuwa amekuwepo kwenye siasa kwa muda mrefu sasa, uzoefu wake ulipaswa kuonekana katika kuleta madaliko. Sasa mtiu mzima ambaye amakuwepo kwenye mfumo kwa muda mrefu kubakia kulalamika tu haisaidii.

Ningetamani sana kwenye hii mitandao ya kijamii tuyachambue mambo kuelimishana kulikoni tukawa tunashabikia tu haitatufikisha mbali.
 
Tena bora ameondoka, watu walioingia chadema kutaka vyeo na wajifanye kutetemekewa utawajua tu. . .ali-loose interest alivyoona watu wanampuuzia.Sisi tunaongozwa na nguvu ya umma bhana.
Kwaheri kunguru nyimbo. . .njiwa tumebaki bandani.
 
Ukiona manyoya,ujue kaliwa!.CCM wameshampa dau la kutosha.CHADEMA tusonge mbele,hamna kurudi nyuma.

........Mkuu lakini kasema wazi kuwa anataka kuwa mwanasiasa huru.....haamini tena kwenye siasa za vyama
 
Tatizo si M4C wala CDM wala Wabunge wake kutembea Nchi Nzima Kuhamasisha Maendeleo na Mabadiliko Ambayo CCM imeshindwa kuwaletea Watanzania kwa miaka mingi ,Ona Ufisadi Ulio Kidhiri,Rushwa ya Kutisha,Umaskini wa Kutupa NA Zaidi Njaa, Jamani hivi ndo Vitu Vinavyo Hamasisha Uvunjifu wa Amani Tanzania Kwani Njaa na Amani wapi na wapi Ninawachukia CCM toka ROHONI.
 
Jiweke sawa usije ukapatwa na ugonjwa wa moyo utakaposikia Dr. Silaa kajitoa CDM. Sijui utamfuata atakakokwenda Au vipi ila najua utaanza na maneno hayo hayo I doubt it!

Siwezi kupatwa na ugonjwa wa moyo kwa mtu yeyote kujitoa CHADEMA, maana CHADEMA is bigger than any person!
 
Bora aanzishe mradi wa kulima fiasi kama mwenzie Mangula
 

Kumbe wewe unatafuta attention tu?
-Huyu aondoke tu kwani wasaliti hawakosi sababu na katika safari hii ni lazima wawepo na wengine watakuja
-By the way anaogopa kasi ya vijana,political liability.Mbona kuna wazee ambao ni tishio na wanaenda sambamba na kasi ya vijana kama akina Victor Kimesera,Marando,prof.Baregu? Wazee hawa ni asset
 
kesho najiunga mimi kwa upelelezi maalum, lazima CDM ife kwa Njama zake za kutuibia,bora CCM wanang'ata na kupuliza..kwa barabara zinajengwa,huduma mbalimbali zinaboreshwa
 
Tunamtakia mafanikio.hayo ni maamuzi yake.asijichanganye akawanenea watu uwongo huwa unagharimu.
 



Aende tu huko aendako kwa sababu hana athari zozote kwa CDM. Kwanza mi ndo namskia leo,he is a noboby.Apumzike tu kwa amani na waachie vijana wafanye siasa. Nadhani itakuwa amekosa cheo alichokuwa anakitaka.
 
“Nasema bila ya kubabaika na nina uhakika na ninachokisema ni kwamba kwa asilimia 50, mauaji ya mwanangu ambaye pia alikuwa ni rafiki yangu Mwangosi, yalisababishwa na Chadema kwa kutotii amri ya Jeshi la Polisi na kupanga kwenda kuzindua tawi la chama ambalo mimi (Nyimbo) nikuwa tayari nimekwishalizindua miezi mitatu iliyopita kabla ya tukio lile,” alisema Nyimbo.( MWANANCHI-29/10/2012)
 

...kwa hiyo Kamhanda angeenda nyumbani kwake na kutoa amri ya kumgeuza angegeuka? Si kila amri ni halali.
 

Hilp ni onyo kwa wanahabari kutotumika kama alivyo uwawa Mwangosi, wakati CDM na Polisi wanatunishiana misuli.
 
kubenea huyu kijana yuko wapi? sisi kama UVCCM wapenda DEMOCRACY tunaombeni vikao vyenu huko DODOMA vije na majibu
 
hivi hii Hoteli yake aliirudisha? napita pale imekuwa Gofu japo inaiulinzi... pia nakumbuka alipata presha siku aliyo angushwa na Lwenge mpaka kuzimia kwaajili ya hiyo hoteli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…