Thomas Nyimbo aahidi kuijenga CHADEMA; apongezwa!

Tunahitaji wanachama wa chadema wenye moyo wa aina hiyo. Nyimbo ameamua kufanya hivyo kwa sababu anaamini kwamba maandalizi ya kuiangusha ccm lazima yaanze sasa na siyo mwaka 2015.
 
Matawi Zanzibar yatafunguliwa na yatafanya vizuri kuliko unavyodhani. Si waZanzibari wote wanafurahia yale mafisadi na washirika wao wanayofanya. Tena waZanzibari watakaojiunga ni wasomi wenye uzalendo na nchi yao.Pole kama unatarajia vinginevyo.
Mwambie aende huko znz akafungue matawi mengine
 
Maendeleo hayaji bila siasa safi, watu, ardhi na uongozi bora. Nyimbo awe chachu kwa wengine.
Ku-politicize kila kitu ndo maana CCM hawataondoka madarakani milele..ndo maana hata waizi wa EPA na wengineo wamehukumiwa ksiasa! zero output.

Huyo Nyimbo kama ana-organisational skills kwanini asiorgnaize vikundi vya maendeleo? Kule Njombe sioni kwanini watu wawe maskini kuna ardhi yenye rutuba nzuri tu na hali ya hewa maridhawa kwa kilimo na viwanda vidogo ku-process hayo mazao ya kilimo, halafu nyie majinias mnaona kufungua ofisi za matawi ndio dili..mtakufa maskini na misiasa yenu uchwara.
 
Ku-politicize kila kitu ndo maana CCM hawataondoka madarakani milele..ndo maana hata waizi wa EPA na wengineo wamehukumiwa ksiasa! zero output.

Huyo Nyimbo kama ana-organisational skills kwanini asiorgnaize vikundi vya maendeleo? Kule Njombe sioni kwanini watu wawe maskini kuna ardhi yenye rutuba nzuri tu na hali ya hewa maridhawa kwa kilimo na viwanda vidogo ku-process hayo mazao ya kilimo, halafu nyie majinias mnaona kufungua ofisi za matawi ndio dili..mtakufa maskini na misiasa yenu uchwara.
Ndugu yangu nadhani wewe humfahamu vizuri huyu Thomas Nyimbo....Huyu mzee ni mfanya biashara mkubwa hususan Nyanda za juu kusini mikoa ya Iringa hasa Njombe na mkoa wa mbeya anaendesha biashara zake safi...na hata enzi zile za giza ambapo wafanya biashara walikuwa hawawezi kujiunga upinzani yeye alijiunga....Kuhusu kuanzisha vikundi mbalimbali vya kusaidia vijana, wazee, kinamama nk alisha-initiate na kuvi-fund.... tembelea ilembula kwenye ngome yake.
 
Gud move kwa ukombozi wa watanzania hasa walio gizani kama kina Malaria sugu na wenzake
 
Gud move kwa ukombozi wa watanzania hasa walio gizani kama kina Malaria sugu and co. ltd
 
Mwambie aende huko znz akafungue matawi mengine
KWANI MKUU MBONA KILA ISSUE ZNZ KWANI KUNA NINI HASA CHA KUPIGIWA MFANO? MAANA KAMA NI ULOFA NI ULEULE TU TENA UMEKITHIRI SANA!!!

KAMA UPENDELEO MNAPEWA SANA KWENYE KILA KITU, LAKINI WEWE KILA SIKU NI ZNZ MARA UISLAMU!!! AU WEWE NI M+ NA CHOGO ILA UNA HULKA YA UCHOKOZI HAPA JAMVINI???!!

ZNZ WANA MAHAKAMA YAO NA MAHAKAMA YA MUUNGANO NI ILE YA RUFAA NA MAHAKAMA KUU YETU HUKU BARA HAINA MAMLAKA KULE KISIWANI LAKINI HEBU FANYA TATHMINI YA UWEPO WA WAZANZIBAR KTK JUDICIARY KUANZIA MAHAKAMA ZA MWANZO MPAKA YA MWISHO HAPA BARA UTAONA UPENDELEO SIJUI NI BAHATI MBAYA AU MAKUSUDI LAKINI WEWE BWANA UNAWACHOKONOA TU WABARA KWENYE KILA JAMBO!!! WHY MKULU AU NDIO USUGU WA MALARIA MAANA IMEJITOKEZA MPYA NA MBU WAKE NI WAPYA NA MSETO IMEDUNDA....hAHAHAHAHHAAAAAAAAAAAA
 
It is evidence of wisdom of a veteran politician. BIG UP NYIMHO Mwamdishi tutaarifu contact xa kupiga tough huyu mzee
 
Ndugu yangu nadhani wewe humfahamu vizuri huyu Thomas Nyimbo....Huyu mzee ni mfanya biashara mkubwa hususan Nyanda za juu kusini mikoa ya Iringa hasa Njombe na mkoa wa mbeya anaendesha biashara zake safi...na hata enzi zile za giza ambapo wafanya biashara walikuwa hawawezi kujiunga upinzani yeye alijiunga....Kuhusu kuanzisha vikundi mbalimbali vya kusaidia vijana, wazee, kinamama nk alisha-initiate na kuvi-fund.... tembelea ilembula kwenye ngome yake.

Kweli simfahamu kama ulivyosema, lakini hiyo haiondoi validity ya hoja yangu. Hoja inabaki palepale kwamba maendeleo yatangulie siasa, na sio kinyume chake. Na huo ndio muono wangu.
 
Kwa kweli MH. NYIMBO umeonyesha njia, hiyo ni mikakati endelevu mungu akutangulie, akutie nguvu utimize azima yao na wengine waige mikakati hiyo, na mimi naichukua
 
Leo asubuhi nimeongea na mmoja wa wasaidizi wa Mh. Nyimbo aliyekuwa mgombea ubunge wa Njombe magharibi kwa tiketi ya CDM na kuhujumiwa na CCM kwa maelekezo ya Anna Makinda na Pindi Chana (Viti maalum Njombe CCM) kuwa pamoja na dhamira ya kupinga matokeo mahakamani. Mh Nyimbo ameamua kufanya yafutayo.
1. kugharimia ufunguzi wa matawi ya CDM vijiji vyote 104 vya jimbo lake ndani ya wiki mbili toka sasa. Gharama kwa kiasi kikubwa atchangia yeye kwa kuwashirikisha wananchi wake.
2. Ameweka makadirio ya kuandikisha wanachama wasiopungua 5000 kwa kipindi hicho cha wiki 2 na kuunda safu imara ya uongozi toka msingi mpaka jimbo/Wilaya
NB.Mheshimiwa anastahili pongezi kwa sababu kwa miak yake ambayo ni zaid ya 60 ni wazi anatuandalia sisi vijana mazingira mazuri ya kupata fursa za kushiriki siasa sasa na baadae.
WITO: Wadau hasa chadema Makao makuu muwezesheni kwa vfaa kama vile kadi, katiba na bendera kwa watu wenye moyo kama ni wachache katika jamii. Aidha Cahdema mkoa wa Iringa kupitia kwa mbinge wa viti maalum na Mjumbe wa kamati kuu Bi Chiku Abwao mpeni tafum mzee huyu ili mwaka 2015 tuisambaratishe CCM Mkoa wa Iringa na Njombe


Bravooooo!!! Wabunge wengine waige kwani huku ndio kujenga chama na siyo kuangalia maslahi binafsi zaidi. We urge all other mps to do the same. Ikibidi watushirikishe nasi wananchi kwani chama ni chetu wapenda mabadiliko.
 
Back
Top Bottom