Hivi huyu Jamaa ambaye ni Afisa habari wa Klabu ya soka ya Mtibwa Sugar yupo yupoje? Naona huwa hana ushabiki wa kijinga kwenye timu,kama maafisa habari wa Simba na Yanga.
Anastahili kuwa Afisa habari wa T.f.f..
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.