This will be my biggest risk! Kilimo cha alizeti Singida

Usimsahau mganga....ili ndio la muhimu zaidi
 
Yeah kwa ekari unatumia mbegu kilo 2 ila sasa naona bei ya mbegu imesimama.

Kwa utoaji huo wa mafuta kukamua mwenyewe ni wazo zuri maana ukisema unauza utampatia faida mnunuzi. Chamsingi fatilia kwa ambao wameilima wakupe ushuhuda. Natamani niijaribu hata kwa ekari moja nione matokeo yake.

Niko mbali na Singida kwa sasa.
 
Mkuu nimedrop namba yangu inbox naomba na Mimi kuungwa na group
 
Highsun nimelima msimu ulopita,sikupata kama inavyosemwa humu,kuna changamoto kubwa ya mvua,nivigumu sana kupata gunia 15 ya alizeti kwa heka moja kwa kutegemea mvua
 
Highsun nimelima msimu ulopita,sikupata kama inavyosemwa humu,kuna changamoto kubwa ya mvua,nivigumu sana kupata gunia 15 ya alizeti kwa heka moja kwa kutegemea mvua
Vipi hii ukiivuna unaweza ipanda tena?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…