This 'Wet lips' look is driving me banana's.

mimi jamani napenda mwanaume mrefu, yaani nachanganyikiwa kabisa namwangalia weeeeeeeeeeeeeeee mpaka apotee machoni mwangu
 
Wakuu kuna hii tabia ya kinadada ya kupaka sijui inaitwa lipshine mwenzenu nikiiona nachanganyikiwa hata akiwa anaongea sisikii kitu mi macho yangu yote jinsi midomo inavyofunguka,sasa sijui ni mimi peke yangu ama kuna wengine pia wanaizimia staili hii. Naipenda zaidi kama kapakaa natural lip colour na lipshine au lipshine pekee sio zile nyekundu sana kama avatar ya Belinda

We acha tu kuna mwingine namjua yeye ugonjwa wake vidole

Mimi ugonjwa wangu....ni staili fulani ya kutembea hivi...
Mwanamke anaetembea kama kajinyea hivi.....huwa nakuwa mgonjwa hivi....

hahah boss wewe mwisho .....kama kajinyea! mmh

niliwahi kukutana na jamaa mmoja anaependa masikio ya wanawake ......mmmh.

Mie wadau ni makalio ya kina kaka kuna makalio ya dizaini fulani hivi si makubwa na si madogo yanaonekana hasa pale mtu kachomekea. Lazima nigeuke nyuma nikipishana na mkaka mtanashati kumcheki kama makalio yako mahali pake. :becky::becky::becky::becky::becky:

I like lip gloss that glitters..when I see a woman with shiny lips....carrying a chic bag like Hermes, wearing 4 inch heels and strutting like Naomi Campbell, wearing Marc Jacob shades...oh man....I go bonkers.

Ikiwa una dalili moja kati ya hizi hapa juu bila shaka una matatizo na unahitaji msaada wa kisaikolojia, kwa jina la kitaalamu nyinyi munaitwa PERVERTS
 
Ikiwa una dalili moja kati ya hizi hapa juu bila shaka una matatizo na unahitaji msaada wa kisaikolojia, kwa jina la kitaalamu nyinyi munaitwa PERVERTS

Wewe kama hakuna kitu kinachokuvutia kutoka jinsia iliyo tofauti na yako basi wewe ndio mwenye matatizo kuliko na unahitaji kwenda kufanyiwa uchunguzi.

Halafu hata kuandika kwa tahajia sahihi hujui. "Munaitwa" ndio lugha gani hiyo?
 
Wakuu kuna hii tabia ya kinadada ya kupaka sijui inaitwa lipshine mwenzenu nikiiona nachanganyikiwa hata akiwa anaongea sisikii kitu mi macho yangu yote jinsi midomo inavyofunguka,sasa sijui ni mimi peke yangu ama kuna wengine pia wanaizimia staili hii. Naipenda zaidi kama kapakaa natural lip colour na lipshine au lipshine pekee sio zile nyekundu sana kama avatar ya Belinda

We acha tu kuna mwingine namjua yeye ugonjwa wake vidole

Mimi ugonjwa wangu....ni staili fulani ya kutembea hivi...
Mwanamke anaetembea kama kajinyea hivi.....huwa nakuwa mgonjwa hivi....

hahah boss wewe mwisho .....kama kajinyea! mmh

niliwahi kukutana na jamaa mmoja anaependa masikio ya wanawake ......mmmh.

Mie wadau ni makalio ya kina kaka kuna makalio ya dizaini fulani hivi si makubwa na si madogo yanaonekana hasa pale mtu kachomekea. Lazima nigeuke nyuma nikipishana na mkaka mtanashati kumcheki kama makalio yako mahali pake. :becky::becky::becky::becky::becky:

I like lip gloss that glitters..when I see a woman with shiny lips....carrying a chic bag like Hermes, wearing 4 inch heels and strutting like Naomi Campbell, wearing Marc Jacob shades...oh man....I go bonkers.

Wewe kama hakuna kitu kinachokuvutia kutoka jinsia iliyo tofauti na yako basi wewe ndio mwenye matatizo kuliko na unahitaji kwenda kufanyiwa uchunguzi.

Halafu hata kuandika kwa tahajia sahihi hujui. "Munaitwa" ndio lugha gani hiyo?
Unaweza kuvutiwa na usanii wa Mungu na jinsi alivyoumba kiumbe chake mfano umbo, hakuna tatizo kwa hili, ila endapo unapata mfadhaiko kwa sijui lip gloss, begi la hermes ama hamsini hamsini mia utambue hilo ni tatizo.
Wiki endi njema mkuu.
 
I like lip gloss that glitters..when I see a woman with shiny lips....carrying a chic bag like Hermes, wearing 4 inch heels and strutting like Naomi Campbell, wearing Marc Jacob shades...oh man....I go bonkers.

Kumbe inaitwa lip gloss asante mkuu naona tuna ugonjwa mmoja hata kwenye high heels kuna wale wadada utadhani ana-glide yaani ile effortlessly nawazimia sana.
 
Ikiwa una dalili moja kati ya hizi hapa juu bila shaka una matatizo na unahitaji msaada wa kisaikolojia, kwa jina la kitaalamu nyinyi munaitwa PERVERTS

Sidhani kama kuna any perversion hapo tunapenda tu sio kunawasumbua au kuwa-stalk.
 
yani mkuu kila mtu kuna kitu kinam-drive crazy kwa jinsia nyingine..sasa mhimize mamsapu apake hiyo lipshine unayoipenda ili umwangalie kila wakati,ha ha
Mie kifua hoi, nitamuangalia mkaka mpaka ashindwe kuelewa.siyo baunsa lakini..

Wife anajuwa na anapaka tatizo nikienda kwenye ofisi zingine dada lips zinang'aa anajaribu kunielewesha kitu mi kila mara 'what did you say'?
 
Umenikumbusha yule mwanamama mke wa mtu aliyempenda muuza kahawa kwa sababu tu ya jinsi vikombe vyake vinavyotoa mlio(vinapo gongana) wakati akitembea
Ndibalema umeniacha hoi.....mlio wa vikombe vya kahawa tu?!! I know of women ambao wakisikia mlio wa machine ya kunyolea wanachanganyikiwa , hawa ni wale waliojizoesha vibrators na masex toys
 
Back
Top Bottom