Wakuu kuna hii tabia ya kinadada ya kupaka sijui inaitwa lipshine mwenzenu nikiiona nachanganyikiwa hata akiwa anaongea sisikii kitu mi macho yangu yote jinsi midomo inavyofunguka,sasa sijui ni mimi peke yangu ama kuna wengine pia wanaizimia staili hii. Naipenda zaidi kama kapakaa natural lip colour na lipshine au lipshine pekee sio zile nyekundu sana kama avatar ya Belinda
We acha tu kuna mwingine namjua yeye ugonjwa wake vidole
Mimi ugonjwa wangu....ni staili fulani ya kutembea hivi...
Mwanamke anaetembea kama kajinyea hivi.....huwa nakuwa mgonjwa hivi....
hahah boss wewe mwisho .....kama kajinyea! mmh
niliwahi kukutana na jamaa mmoja anaependa masikio ya wanawake ......mmmh.
Mie wadau ni makalio ya kina kaka kuna makalio ya dizaini fulani hivi si makubwa na si madogo yanaonekana hasa pale mtu kachomekea. Lazima nigeuke nyuma nikipishana na mkaka mtanashati kumcheki kama makalio yako mahali pake. :becky::becky::becky::becky::becky:
I like lip gloss that glitters..when I see a woman with shiny lips....carrying a chic bag like Hermes, wearing 4 inch heels and strutting like Naomi Campbell, wearing Marc Jacob shades...oh man....I go bonkers.
Ikiwa una dalili moja kati ya hizi hapa juu bila shaka una matatizo na unahitaji msaada wa kisaikolojia, kwa jina la kitaalamu nyinyi munaitwa PERVERTS
Wakuu kuna hii tabia ya kinadada ya kupaka sijui inaitwa lipshine mwenzenu nikiiona nachanganyikiwa hata akiwa anaongea sisikii kitu mi macho yangu yote jinsi midomo inavyofunguka,sasa sijui ni mimi peke yangu ama kuna wengine pia wanaizimia staili hii. Naipenda zaidi kama kapakaa natural lip colour na lipshine au lipshine pekee sio zile nyekundu sana kama avatar ya Belinda
We acha tu kuna mwingine namjua yeye ugonjwa wake vidole
Mimi ugonjwa wangu....ni staili fulani ya kutembea hivi...
Mwanamke anaetembea kama kajinyea hivi.....huwa nakuwa mgonjwa hivi....
hahah boss wewe mwisho .....kama kajinyea! mmh
niliwahi kukutana na jamaa mmoja anaependa masikio ya wanawake ......mmmh.
Mie wadau ni makalio ya kina kaka kuna makalio ya dizaini fulani hivi si makubwa na si madogo yanaonekana hasa pale mtu kachomekea. Lazima nigeuke nyuma nikipishana na mkaka mtanashati kumcheki kama makalio yako mahali pake. :becky::becky::becky::becky::becky:
I like lip gloss that glitters..when I see a woman with shiny lips....carrying a chic bag like Hermes, wearing 4 inch heels and strutting like Naomi Campbell, wearing Marc Jacob shades...oh man....I go bonkers.
Unaweza kuvutiwa na usanii wa Mungu na jinsi alivyoumba kiumbe chake mfano umbo, hakuna tatizo kwa hili, ila endapo unapata mfadhaiko kwa sijui lip gloss, begi la hermes ama hamsini hamsini mia utambue hilo ni tatizo.Wewe kama hakuna kitu kinachokuvutia kutoka jinsia iliyo tofauti na yako basi wewe ndio mwenye matatizo kuliko na unahitaji kwenda kufanyiwa uchunguzi.
Halafu hata kuandika kwa tahajia sahihi hujui. "Munaitwa" ndio lugha gani hiyo?
I like lip gloss that glitters..when I see a woman with shiny lips....carrying a chic bag like Hermes, wearing 4 inch heels and strutting like Naomi Campbell, wearing Marc Jacob shades...oh man....I go bonkers.
Ikiwa una dalili moja kati ya hizi hapa juu bila shaka una matatizo na unahitaji msaada wa kisaikolojia, kwa jina la kitaalamu nyinyi munaitwa PERVERTS
yani mkuu kila mtu kuna kitu kinam-drive crazy kwa jinsia nyingine..sasa mhimize mamsapu apake hiyo lipshine unayoipenda ili umwangalie kila wakati,ha ha
Mie kifua hoi, nitamuangalia mkaka mpaka ashindwe kuelewa.siyo baunsa lakini..
Haya mwaya..kipendacho roho dawa eti.
Kumbe inaitwa lip gloss asante mkuu naona tuna ugonjwa mmoja hata kwenye high heels kuna wale wadada utadhani ana-glide yaani ile effortlessly nawazimia sana.
Dada mkubwa unatubania mbona hujasema unapenda kitu gani katika mwili wa mwanaume?