This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Kathibitisha kwamba katibu mkuu alikuwa sahihi kusema wanatakiwa warudi vyuo wakasome namna ya kuongoza.

Cc Unforgetable
Achana na kumsikiliza huyo katibu mkuu wetu muimba mipasho. Yeye kila siku anaongea ongea in the name of kukemea wakati hao anao wakemea kila siku wanatekeleza mambo yao. Bashiru ameshadharaurika ndani ya chama, hana nguvu ya kumgusa mteuzi yeyote yule.
Atabaki anatoa lecture tu kwa wanachama.
 
Kunae Ombwe la Uongozi nchi hii.

Nadhani wakati umefika hizi nafasi za Uongozi zingeachiwa mamlaka kadhaa kuchagua

Mfano hawa wakuu wa Wilaya ilitakiwa watokane na watumishi wa umma waliofanya kazi muda mrefu na wenye Merits fulani fulani na wapitishwe na mamlaka au bodi fulani na sio Mh rais.

Hilo lingefanyika hata kwa wakurugenzi na wakuu wa mkoa.

Serikali ina hazina ya watumishi wenye Merits na waledi mzuri na walipita kwenye mambo ya Uongozi badala ya kuchagua hawa wanaoelezwa kila siku hawaelewi mfano mzuri ni Maafisa Elimu Kata.

Wale jamaa ni watu wenye uzoefu mkubwa sana kwenye Uongozi na most of them ni walimu wa muda mrefu na wanajielewa sana.

Jaribu kuangalia teuzi zao na wanapowekwa ni watu walioiva na wajua maadili na wanaielewa vizuri jamii yao na hivyo kuleta matokeo chanya kuliko huu utaratibu wa sasa wa kuanua-anua viongozi popote.

Asante
 
Pascal, my friend, LIKE FATHER LIKE SON! Ile kauli ya "mnajua msaliti huwa anafanywa nini" ya baba yao ina madhara makubwa! Kupotea kwa akina Ben, Azory, sandarusi za maiti ufukweni bila kuchunguzwa na sababu za ajabu ajabu zlizotolewa na polisi wakati ule, they sent a go-ahead msg to those pretending to be "royal" to the father! and hence such matamshi! Wanasema maovu na kutenda hawakemewi/kuadhibiwa, wonderful enough kinachofuata ni kupandishwa vyeo, what do you expect from others! UKWELI UNAUJUA WA CHANZO CHA MAOVU HAYA!


Edit this boss..royal = Loyal...bibi faiza asije akakuuliza lile swali lake..:D:D
 
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.



Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.

Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa

Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.

Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.

Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.

Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.

P

Ikulu iombe ufafanuzi wa kauli yake isiporidhika jumapili asubuhi tupate cha kuzungumza baada ya Msigwa kutupia taarifa ya utenguzi.
 
Pale siasa inapotaka KUFUNIKA UHALISIA. Kwa maoni yangu Mwizi Dawa yake ni Kuua. Kama umewahi ibiwa na huna SIASA UCHWARA huwezi anzisha uzi kudaubt hoja za Chalamila. Naunga mkono Hoja ya Chalamila. Najua wanasiasa uchwara watakuja na hoja za kazi ya polisi mara mahakama oooh haki za binadamu nk.Ibiwa kwanza uone kama utaleta SIASA UCHWARA hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.



Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.

Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa

Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.

Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.

Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.

Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.

P
Mkuu #Pasco hivi ni huyu ndie aliyemshauri Jiwe abadili jina la chama kutoka CCM kuwa Magufuri Political Party?
 
Duu..watendaji wa awamu hii,si mchezo! Kila mmoja anajaribu kumu impress Mheshimiwa Rais bila kujali namna ya kufikisha ujumbe. Sina hakika kama kuna chombo cha kuwachuja hawa mabwana kabla hawajapewa majukumu wanayopewa.Kwanini wasipelekwe Simiyu kwa Anthony Mtaka akawape somo la maadili ya uongozi?
Huyu RC hata ukinuangalia alivyo na anavyo ongea kabisa unaona ana matatizo kichwani
 
Katika nchi ya watu waliostaarabika, na yenye serikali madhubuti, na mifumo ya kiutawala inayofanya kazi kwa kuzingatia sgeria, baada ya kauli ile pale pale alistahili kukamatwa na kushtakiwa kwa kosa la mauaji ya kukusudia. Huyu amekiri kwa kinywa chake kuwa aliua kwa makusudi.

Si jambo la ajabu kwa wamwagaji wa damu za watu, kufika kipindi fulani na kuanza kuweweseka wenyewe. Huyu nadhani tayari yupo kwenye hatua hiyo.
 
t nchi yetu inako elekea sio kuzuri nyinyi mnaiba mabilioni ya kodi za wananchi halafu mnalipwa mishahara mkubwa. na mnapewa magari makubwa yaliyo nunuliwa na kodi zetu, mafuta mnajaziwa na dreva mnapewa bado mnaiba kodi mnapokea rushwa mbona hamuuwawi ? ila mnataka mwananchi mliye mfilisi mpaka akashindwaa kulisha familia yake, akajikuta kwenye hali yakudokoa kuku, mnataka auwawe. jee nyinyi manao iba mabilioni au manao sababisha hasara za mabilioni kama wale walio taifisha shamba la mkulima bila kufuwata sheria na kupelekea kutumia kodi zetu kumlipa mabilioni na bado ndege yetu ikakamatwa tuwafanye nini?
Ehee imenibidi ni change mtazamo..umesema.kweli aisee...aibu yetu hii...
 
Hapa tatizo liko kwa aliyemteu na usalama wa taifa, ambao walihusika kwenye vetting process.

Huyu RC anakuwa na blunders nyingi kila mara na hatumbuliwi, jee ana ukaribu gani na Raisi.
 
Katika nchi ya watu waliostaarabika, na yenye serikali madhubuti, na mifumo ya kiutawala inayofanya kazi kwa kuzingatia sgeria, baada ya kauli ile pale pale alistahili kukamatwa na kushtakiwa kwa kosa la mauaji ya kukusudia. Huyu amekiri kwa kinywa chake kuwa aliua kwa makusudi.

Si jambo la ajabu kwa wamwagaji wa damu za watu, kufika kipindi fulani na kuanza kuweweseka wenyewe. Huyu nadhani tayari yupo kwenye hatua hiyo.
Akamatwe kwanini kasema wezi wauawe?Jamaa yuko sahihi kabisa. Wezi wachomwe hata moto,ukitaka kuona sheria ni upuuz mbele ya mwizi angalia akiiba huwa abakimbilia wapi?Wao kukaa jera, sijui wapi sio shida. So leo huyu akipigwa risasi mwingine kachomwa moto angalau akili zinawarudi kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wake wenye ujuzi na parmtions with energy, watuanzishie a CITIZENS petition kwa raisi huyu RC aondokewe kazini mara moja kwa Amri ya raia walionpigia kura Mhe. RAISI. CITIZENS IRREVOCABLE PETITION
 
Hiki kiburi cha madaraka kinatokana na mapungufu ya katiba yetu.'Wateule' Kuna mawazo mbadala kuwa na wakuu wa mikoa wanaopigiwa kura!
Leo hii hata wakazi mkoa husika nusu wamkatae, mteule ndie mwamuzi. Ukistaajabu ya kauli tata za wateule dc's,rc's utayaona ya Sabaya,AliHappy...
 
Back
Top Bottom