This is why I am a Mnyika fan, not disapointed yet

Lord have mercy....

hahaha...an empty can ehhe? Haya bwana....i guess my time in law school was a waste!!
Yani kesi imehama kutoka a criminal matter na kuwa a civil procedure? embu tueleze imehamaje basi? Na parties wa hiyo kesi ni nani?
Kasome Laws101, au nenda ka-google (not a bad source for a beginner) maana sina muda wa kukueleza tofauti ya criminal proceedings na civil proceedings. How the different proceeds are brought to court, etc, etc...
Jaribu kuelewa hilo kabla ya kufungua bakuli lako hapa au omba uelimishwe!
I guess serikali imeamua kuwafungulia mashtaka kwa sababu inaichukia Chadema na hawakuvunja sheria yeyote. Ohh...by the way...usisahau kuwa serikali ni ccm which makes the argument even stronger!hahahaha

N.B: Ivi unajua kwa nini serikali inashtaki mtu?


Figure out hiyo sheria waliovunja halafu utuelezee wewe mwanasheria ni hipi hiwapo walipewa kibali ambacho kikawa cancelled dakika za mwisho. Then tell us why it is a criminal offence.

Toa sababu za serikali ku turn around kuvunja maandamano dakika za mwisho, preparation za chadema za maandamo (including financial loss iwapo wange cancel), the time consumed in arranging the rally and who caused the chaos in the first place, then tell us why it is a criminal case.

If anybody is to be made responsible would it be the guys who were given the permission or the authoritarian regime who think they can deprive people of their democracy.

Kaazi kweli kweli haya akina Nape wajiandae kwenda mahakamani kama wanasheria wa haki za ubinadamu wakiamua kuchukulia serious mauwaji yaliyofanywa na jeshi la serikali kwa kuwa serikali yote ni CCM (we kweli pathetic).

halafu nadhani we ni ligi sana mazee mi wacha nikupe ushindi for now i got better things to do kwa kweli.
 
Figure out hiyo sheria waliovunja halafu utuelezee wewe mwanasheria ni hipi hiwapo walipewa kibali ambacho kikawa cancelled dakika za mwisho. Then tell us why it is a criminal offence.

Toa sababu za serikali ku turn around kuvunja maandamano dakika za mwisho, preparation za chadema za maandamo (including financial loss iwapo wange cancel), the time consumed in arranging the rally and who caused the chaos in the first place, then tell us why it is a criminal case.

If anybody is to be made responsible would it be the guys who were given the permission or the authoritarian regime who think they can deprive people of their democracy.

Kaazi kweli kweli haya akina Nape wajiandae kwenda mahakamani kama wanasheria wa haki za ubinadamu wakiamua kuchukulia serious mauwaji yaliyofanywa na jeshi la serikali kwa kuwa serikali yote ni CCM (we kweli pathetic).

halafu nadhani we ni ligi sana mazee mi wacha nikupe ushindi for now i got better things to do kwa kweli.

at least umeanza kuongea sense! Usijifanye eti unatoa ushindi wakati ni obvious kuwa unaongea pumba. You dare to challenge me bila kuwa na idea ya nini unachoongelea!
Nitoe sababu za polisi kubadilisha msimamo kwani mimi ni msemaji wao? Wewe vipi? Wacha kuingiza emotions kwenye arguments!
Ngoja nikwambie kwa nini ni a criminal case:
Kwanza niseme kuwa sijui the specific charges walizopewa viongozi wa Chadema. Lakini from my understanding (and correct me if am wrong) hizi ndizo facts za hii kesi:
1. Polisi wanauwezo wa kukupa na kuondoa kibali cha kufanya mkutano wa hadhara au maandamano
2. Kibali kiliondolewa kwa sababu za 'ki-intelijensia' (rukia point ya 4 & 5 kwa maelezo juu ya hili)
3. Chadema waliendelea na mkutano na maandamano bila kibali hivyo wakavunja sheria (kosa la jinai)
4. Chadema wangeweza kuleta civil procedure kwa hayo madai ya kupoteza pesa, nk uliyoyaweka.
Doubt if they would advance very far with this!
Lakini pia wanaweza kutumia hii kama evidence against police kuzuia maandamano dakika ya mwisho.
One of the key factors ni communication. Polisi walitumia njia gani ku-communicate cancellation notice yao.
5. Chadema wangeweza kuanzisha judicial review ya hiyo procedure ya kunyang'anywa kibali
(tafuta maana ya judicial review)
Somo la leo:
Unapovunja sheria, unaingia katika uwanja wa polisi. Na hilo ni moja ya kosa la Chadema. Baada ya kibali kuondolewa, kisheria wasingeweza kufanya mkutano. Simple and clear!
Note: mimi sio ccm bali nakueleza how the facts look! Kaa salama, na jaribu kuwa unasoma soma more than one opinion kwa ajili ya kuvumbua macho...
Have fun doing those better things...
 
"If you preachee, preachee
If you prayee, prayee
But not preachee prayee"


  • Kuna siku Watanzania walio wengi watazielewa kazi za Chama cha Upinzani - ni kama hizo wanazozifanya Chadema na kwa ufanisi mkubwa.
  • Pia kuna siku Watanzania walio wengi watazielewa kazi za Chama Tawala - ni kama hizo wanazoshindwa kuzifanya CCM kwa kiwango hicho hicho.
  • Ni kweli timu zote mbili zina majukumu ila majukumu yenyewe hayafanani - CCM ina rungu linalolitumia kulinda maslahi yake kwa kuinyanyasa Chadema.
 
at least umeanza kuongea sense! Usijifanye eti unatoa ushindi wakati ni obvious kuwa unaongea pumba. You dare to challenge me bila kuwa na idea ya nini unachoongelea!
Nitoe sababu za polisi kubadilisha msimamo kwani mimi ni msemaji wao? Wewe vipi? Wacha kuingiza emotions kwenye arguments!
Ngoja nikwambie kwa nini ni a criminal case:
Kwanza niseme kuwa sijui the specific charges walizopewa viongozi wa Chadema. Lakini from my understanding (and correct me if am wrong) hizi ndizo facts za hii kesi:
1. Polisi wanauwezo wa kukupa na kuondoa kibali cha kufanya mkutano wa hadhara au maandamano
2. Kibali kiliondolewa kwa sababu za 'ki-intelijensia' (rukia point ya 4 & 5 kwa maelezo juu ya hili)
3. Chadema waliendelea na mkutano na maandamano bila kibali hivyo wakavunja sheria (kosa la jinai)
4. Chadema wangeweza kuleta civil procedure kwa hayo madai ya kupoteza pesa, nk uliyoyaweka.
Doubt if they would advance very far with this!
5. Chadema wangeweza kuanzisha judicial review ya hiyo procedure ya kunyang'anywa kibali
(tafuta maana ya judicial review)
Somo la leo:
Unapovunja sheria, unaingia katika uwanja wa polisi. Na hilo ni moja ya kosa la Chadema. Baada ya kibali kuondolewa, kisheria wasingeweza kufanya mkutano. Simple and clear!
Note: mimi sio ccm bali nakueleza how the facts look! Kaa salama, na jaribu kuwa unasoma soma more than one opinion kwa ajili ya kuvumbua macho...
Have fun doing those better things...
Arguing with you is like squeezing a sponge in the rain a useless procedure you go round and round and round and ...... and...... doing the same thing unless the rain stops.

Why would i challenge someone i can school in the first place you got fantasies kiddo that's the reason behind ya victory (i'm not going to convince you on that). Utaongeleaje polisi kuwa na haki ya kubadilisha maamuzi kwa sababu za ki intelegensia or somen bila ya wao kuwapa sababu waandaaji or a notice way before the final preparations. Hapa ni wao ndio walikuwa na jukumu la kuongeza ulinzi kuzuia hicho walicho kijua wao na si kuvunja maandamano it is the reason why the tax payers fund is running the institution.

Lakini kitendo cha wao kuamua kuvunja maandamano ni kuvunja sheria za nchi (katiba) na civil liberties zinazo ruhusiwa, na si kwamba CDM waliamka asubuhi na kujiamulia hoo jamani kesho tuandamane; no waliomba ruhusa mapema ya kufanya maandamano yao na wakapewa kibali.

Sasa tena kama serikali ikiamua otherwise dakika za mwisho wakati walishatoa ruhusa how can they issue a 'criminal suit' hapo, the only way they can issue any suit hapo its a 'civil suit' kwa kuwa CDM hawajavunja sheria tena; bali ombi la wao (serikali) kutoandamana hiyo siku ambayo walishakubaliwa hawali. Therefore the suit would involve what damages had been done due to not listening; now go figure what sort of case would this be Mr Lawyer.

Na uwezi sema chadema walitakiwa waende omba judicial review baada ya kutoandamana: either way it dont make no difference as the review would consider the scenario from the first procedure while interpreting the law and CDM did everything right until the last minute, kutokana na wababe kutaka kuibaka demokrasia (again they did the right to rally as a protest to the last minute changes from the gov). Kwa mtaji huo wavunja sheria hapa ilikuwa ni serikali na CDM imefanya sawa kuendelea na maandamano kwa kuwa sheria kupitia katiba hipo upande wao.

Maamuzi ya kuvunja maandamano yalikuwa nje ya sheria zetu za nchi, unreasonable and unconstitutional only motivated by fear of the ruling party who control the strings in the judiciary.

Mwisho ukivunja sheria unakutana na vyombo vya sheria na si polisi. Polisi ni law enforcement body inafuata tu taratibu za sheria ambazo zinaweza toka kwenye judiciary or legislation. We kweli mwansheria mbona una pwaya hivi, on a serious note siku njema somo la leo linatosha.
 
You will not be disappointed mkuu,lugha yako ya kina Q Elizabeth umeivocabularize sana
Kuna siku nilimsikiliza Mnyika kwenye open discussion ITV,kulikuwa na watu kama watano hivi na kilichokuwa kinajadiliwa ni katiba mpya
Pamoja na kwamba panel ilikuwa imeshiba wanataaluma na wazoefu kibao jamaa alifunika mbaya
Naamini kuwa mtendaji au mtekelezaji mzuri sifa ya msingi ni lazima uwe na uelewa mpana wa mambo,
Viongozi wengi(nasema wengi sana) wanashikilia nafasi nyeti ambazo ni muhimu kwa maendeleo na maamuzi muhimu kitaifa lakini hawana uwezo hata kidogo.
 
You will not be disappointed mkuu,lugha yako ya kina Q Elizabeth umeivocabularize sana
Kuna siku nilimsikiliza Mnyika kwenye open discussion ITV,kulikuwa na watu kama watano hivi na kilichokuwa kinajadiliwa ni katiba mpya
Pamoja na kwamba panel ilikuwa imeshiba wanataaluma na wazoefu kibao jamaa alifunika mbaya
Naamini kuwa mtendaji au mtekelezaji mzuri sifa ya msingi ni lazima uwe na uelewa mpana wa mambo,
Viongozi wengi(nasema wengi sana) wanashikilia nafasi nyeti ambazo ni muhimu kwa maendeleo na maamuzi muhimu kitaifa lakini hawana uwezo hata kidogo.
 
Soma hichi kifungu:
Section 6 of the Parliamentary Immunities, Powers and Privileges Act, 1988 (no. 3) states as follows:-
No member shall be liable for arrest for any civil debt except for a debt the contraction of which constitutes a criminal offence.


Kwani Mbowe alikuwa anadaiwa? Mh Lissu naye ali-cite hiki kifungu kutetea kukamatwa kwa Mh Mbowe. I couldn't believe it.

Kwa manufaa ya knowledge yako, tafuta kitabu kilichoandikwa na Pius Msekwa Parliamentary Privileges in Tanzania. Katika introduction kinasema:
There is ample evidence to show that the concept of parliamentary
privilege is not well understood by the majority of Tanzanians, including some of the members of parliament themselves whom it is intended to benefit, despite the fact that statutory provision for parliamentary privileges, powers and immunities, has been in place for a very long time,...



Which, of course, justifies what you said above.
 
Arguing with you is like squeezing a sponge in the rain a useless procedure you go round and round and round and ...... and...... doing the same thing unless the rain stops.

Why would i challenge someone i can school in the first place you got fantasies kiddo that's the reason behind ya victory (i'm not going to convince you on that). Utaongeleaje polisi kuwa na haki ya kubadilisha maamuzi kwa sababu za ki intelegensia or somen bila ya wao kuwapa sababu waandaaji or a notice way before the final preparations. Hapa ni wao ndio walikuwa na jukumu la kuongeza ulinzi kuzuia hicho walicho kijua wao na si kuvunja maandamano it is the reason why the tax payers fund is running the institution.

Lakini kitendo cha wao kuamua kuvunja maandamano ni kuvunja sheria za nchi (katiba) na civil liberties zinazo ruhusiwa, na si kwamba CDM waliamka asubuhi na kujiamulia hoo jamani kesho tuandamane; no waliomba ruhusa mapema ya kufanya maandamano yao na wakapewa kibali.

Sasa tena kama serikali ikiamua otherwise dakika za mwisho wakati walishatoa ruhusa how can they issue a 'criminal suit' hapo, the only way they can issue any suit hapo its a 'civil suit' kwa kuwa CDM hawajavunja sheria tena; bali ombi la wao (serikali) kutoandamana hiyo siku ambayo walishakubaliwa hawali. Therefore the suit would involve what damages had been done due to not listening; now go figure what sort of case would this be Mr Lawyer.

Na uwezi sema chadema walitakiwa waende omba judicial review baada ya kutoandamana: either way it dont make no difference as the review would consider the scenario from the first procedure while interpreting the law and CDM did everything right until the last minute, kutokana na wababe kutaka kuibaka demokrasia (again they did the right to rally as a protest to the last minute changes from the gov). Kwa mtaji huo wavunja sheria hapa ilikuwa ni serikali na CDM imefanya sawa kuendelea na maandamano kwa kuwa sheria kupitia katiba hipo upande wao.

Maamuzi ya kuvunja maandamano yalikuwa nje ya sheria zetu za nchi, unreasonable and unconstitutional only motivated by fear of the ruling party who control the strings in the judiciary.

Mwisho ukivunja sheria unakutana na vyombo vya sheria na si polisi. Polisi ni law enforcement body inafuata tu taratibu za sheria ambazo zinaweza toka kwenye judiciary or legislation. We kweli mwansheria mbona una pwaya hivi, on a serious note siku njema somo la leo linatosha.

call me whatever u want but i dont argue with a fool! Inaelekea hata hujui kazi ya polisi. Hata hujui basis ya a civil suit! Kwanza hakuna kitu kama a criminal suit! u r just an ignorant fool discussing a subject u have no knowledge on! Unaongelea haki ya katiba, kwanza naomba uiweke hapa hiyo haki ya maandamano kwenye Katiba. Unaijua? Hata kusoma Katiba inaonyesha huwezi. Vifungu vya Katiba vipo subject to other laws. Your argument and reasoning is pathetic, too low below my level. I tried to educate you, but it appear its like educating a brick.
You fail to understand the simple fact that the Police can stop a demonstration or a public meeting at the displeasure. Simama, rukaruka, kimbia, vua nguo, penda usipende hiyo ndio sheria. Wakupe a week's notice, au a minute's notice, sheria inawapa mamlaka ya kuzuia mkutano. But u r so thick u will never understand that.

Eti polisi wafungue civil case. Umeshasikia hicho kitu wapi? Unajua maana ya a civil case? Kweli wewe ni a brick! Tafuta mjinga mwenzako mueleze huo upumbavu wako. Nachukia ujinga, lakini nachukia UPUMBAVU zaidi. Nafuu ujinga unafutika, kuliko upumbavu unaobaki milele. I'm out...
 


Kwani Mbowe alikuwa anadaiwa? Mh Lissu naye ali-cite hiki kifungu kutetea kukamatwa kwa Mh Mbowe. I couldn't believe it.


Which, of course, justifies what you said above.

Ndio hapo. Hata mimi kwenda kufanyie research nikakuta hivyo. Nadhani ndio maana Mbowe alijipeleka polisi ile jumamosi peke yake.
 
Kwanza umejichanganya!!! Breach of a court order (contempt of court)...sio an offence?? Kasome hiyo sheria kwanza. By the way...hiyo ndio issue at hand, na ndio iliyoleta kukamatwa kwa Mbowe!

Pili...turudi kwenye maandamano, kufanya maandamano bila kibali sio an offence? I guess ni civil matter ndio maana polisi walihusika...
Note: A criminal offence doesn't have to be found in the Penal Code ndugu yangu.

Hapa kuna swala la sheria na haki.

Wewe point yako ni kuhusu contempt of court, hapa Mbowe wanampata kwa sababu it is straightforward umetakiwa kutokea mahakamani, hujatokea, umedharau mahakama. Ndiyo maana akaona hana ujanja kwa sheria zao wamemshika ma.pumbu.

Lakini, the bigger picture si hili. Mbowe hapa admittedly moderates wanaweza kusema ka boogie step kwa kutotaka ku "work within the system" initially. The bigger picture ni kwamba hizi ni political shenanigans tu, mahakama inatumika kisiasa kudhalilisha upinzani.

The bigger picture ni kwamba, on the original issue ya "unlawful assembly" CHADEMA walipewa kibali na polisi, halafu baada ya kupewa kibali, in the middle of the assembly, kibali kikawa mysteriously withdrawn in an unprecedented move. Labda ndiyo maana Mbowe akaona fvck it, I am not even going to court, the whole thing is a political fabrication.

Sasa unaweza kujikita katika sheria, lakini kama Mark Twain, my favorite iconoclast, alivyosema, "the law is an azz" . The British used the law to rule India, the Boers used the law to opress people in South Africa, The United States used Jim Crow laws to oppress black people in America, Tanzania is using similarly colonial and oppressive laws to stifle the opposition.

Kwa hiyo kinachohitajika sasa si kutetea kila sheria, hususan hizi seheria za kidhalimu zinazotumika kubana upinzani.

Na kama kuna mtu anaweza ku challenge mahakama na sheria zake dhalimu, mtu huyo anatakiwa kupewa support, si kupewa dharau.
 
Arguing with you is like squeezing a sponge in the rain a useless procedure you go round and round and round and ...... and...... doing the same thing unless the rain stops.

Why would i challenge someone i can school in the first place you got fantasies kiddo that's the reason behind ya victory (i'm not going to convince you on that). Utaongeleaje polisi kuwa na haki ya kubadilisha maamuzi kwa sababu za ki intelegensia or somen bila ya wao kuwapa sababu waandaaji or a notice way before the final preparations. Hapa ni wao ndio walikuwa na jukumu la kuongeza ulinzi kuzuia hicho walicho kijua wao na si kuvunja maandamano it is the reason why the tax payers fund is running the institution.

Lakini kitendo cha wao kuamua kuvunja maandamano ni kuvunja sheria za nchi (katiba) na civil liberties zinazo ruhusiwa, na si kwamba CDM waliamka asubuhi na kujiamulia hoo jamani kesho tuandamane; no waliomba ruhusa mapema ya kufanya maandamano yao na wakapewa kibali.

Sasa tena kama serikali ikiamua otherwise dakika za mwisho wakati walishatoa ruhusa how can they issue a 'criminal suit' hapo, the only way they can issue any suit hapo its a 'civil suit' kwa kuwa CDM hawajavunja sheria tena; bali ombi la wao (serikali) kutoandamana hiyo siku ambayo walishakubaliwa hawali. Therefore the suit would involve what damages had been done due to not listening; now go figure what sort of case would this be Mr Lawyer.

Na uwezi sema chadema walitakiwa waende omba judicial review baada ya kutoandamana: either way it dont make no difference as the review would consider the scenario from the first procedure while interpreting the law and CDM did everything right until the last minute, kutokana na wababe kutaka kuibaka demokrasia (again they did the right to rally as a protest to the last minute changes from the gov). Kwa mtaji huo wavunja sheria hapa ilikuwa ni serikali na CDM imefanya sawa kuendelea na maandamano kwa kuwa sheria kupitia katiba hipo upande wao.

Maamuzi ya kuvunja maandamano yalikuwa nje ya sheria zetu za nchi, unreasonable and unconstitutional only motivated by fear of the ruling party who control the strings in the judiciary.

Mwisho ukivunja sheria unakutana na vyombo vya sheria na si polisi. Polisi ni law enforcement body inafuata tu taratibu za sheria ambazo zinaweza toka kwenye judiciary or legislation. We kweli mwansheria mbona una pwaya hivi, on a serious note siku njema somo la leo linatosha.

School the fool Eric.
 
1. Polisi wanauwezo wa kukupa na kuondoa kibali cha kufanya mkutano wa hadhara au maandamano.


Sir, you may be referring to a law which is no longer valid. Permits has been removed following then section 40 of the Police Force Ordinance and 11(1) of the Political Parties Act being declared void by the court for contravening article 20(2) of the Constitution. Therefore, the current section 43 (1) of the Police Force Auxiliary Services Act 2009 now only requires to submit a written notification not to request a permission. Once you submits a notification, you may proceed to convene procession unless you receive a stop order from the Police.

2. Kibali kiliondolewa kwa sababu za 'ki-intelijensia' (rukia point ya 4 & 5 kwa maelezo juu ya hili)
3. Chadema waliendelea na mkutano na maandamano bila kibali hivyo wakavunja sheria (kosa la jinai)

Again you still talking about "kibali" a term used in old law which is no longer valid. But I agree that the police, after receiving the notification, can issue what is known as a "stop order" after being satisfied that procession is likely to cause a breach of the peace, affect public safety or public order, etc. But how the police reach their decision is a mystery. We are not given any evidence that the procession is, for example, likely to cause the breach of peace.

5. Chadema wangeweza kuanzisha judicial review ya hiyo procedure ya kunyang'anywa kibali
(tafuta maana ya judicial review)

Do you know the interval when the police issued the stop order and the time the procession was scheduled to start? The order was issued in the evening, hours before the procession. Kama wewe ungekuwa mwanasheria wao ungeenda ku-file wapi judicial review usiku ule?

Somo la leo: Unapovunja sheria, unaingia katika uwanja wa polisi. Na hilo ni moja ya kosa la Chadema. Baada ya kibali kuondolewa, kisheria wasingeweza kufanya mkutano. Simple and clear!

Correct hapo kwenye kibali, otherwise utakuwa unamislead watu. There is no such thing as kuomba kibali under the current law. That was in the old law which was declared by the court unconstitutional.
 
call me whatever u want but i dont argue with a fool! Inaelekea hata hujui kazi ya polisi. Hata hujui basis ya a civil suit! Kwanza hakuna kitu kama a criminal suit! u r just an ignorant fool discussing a subject u have no knowledge on! Unaongelea haki ya katiba, kwanza naomba uiweke hapa hiyo haki ya maandamano kwenye Katiba. Unaijua? Hata kusoma Katiba inaonyesha huwezi. Vifungu vya Katiba vipo subject to other laws. Your argument and reasoning is pathetic, too low below my level. I tried to educate you, but it appear its like educating a brick.
You fail to understand the simple fact that the Police can stop a demonstration or a public meeting at the displeasure. Simama, rukaruka, kimbia, vua nguo, penda usipende hiyo ndio sheria. Wakupe a week's notice, au a minute's notice, sheria inawapa mamlaka ya kuzuia mkutano. But u r so thick u will never understand that.

Eti polisi wafungue civil case. Umeshasikia hicho kitu wapi? Unajua maana ya a civil case? Kweli wewe ni a brick! Tafuta mjinga mwenzako mueleze huo upumbavu wako. Nachukia ujinga, lakini nachukia UPUMBAVU zaidi. Nafuu ujinga unafutika, kuliko upumbavu unaobaki milele. I'm out...

Unajua hii mitandao athee wakati mwingine kumbe tunajibizana na wagonjwa on the keyboard, I hope your taking ya medication or the carer is somewhere nearer apparently wadudu wameanza kazi kichwani.

1. kwa kuanzia Police is also regulated and has to respect the constitution hiyo ndio guidance ya Taifa na inatoa maelekezo yote jinsi jamii inavyoendeshwa sasa katiba yetu ina ambatana na international human right laws (kama hujui hilo athee mbona huyo mdingi anatupa hela bure).

2. Wewe umeshindwa kuelezea chochote kuhusu criminal Law on ya side ningekuwa mimi still ningekubana kwa kesi hii hii thats how low i take ya.

3. Kama unataka kuchanganya siasa na law halafu ujui hata what role the legislative has, the judiciary and the executive ni sawa na kumpigia mbuzi zeze. Like i said you only got to use commonsense if you understand the limitation of each organs. Ni kitabu kizima cha siasa hicho we *****.

And finally si ajabu watu wanaburuzwa kwa sababu tafsiri ya katiba inawashinda na ndio maana hata wanalilia mpya wakati balance ni ndogo sana and that is not law thats just politics u little pwuss-y.

Finally matusi si anga zangu kabisa even in real life huna hoja kaa kimya pls. Lakini tusiende huko.
 
Hapa kuna swala la sheria na haki.

Wewe point yako ni kuhusu contempt of court, hapa Mbowe wanampata kwa sababu it is straightforward umetakiwa kutokea mahakamani, hujatokea, umedharau mahakama. Ndiyo maana akaona hana ujanja kwa sheria zao wamemshika ma.pumbu.

Lakini, the bigger picture si hili. Mbowe hapa admittedly moderates wanaweza kusema ka boogie step kwa kutotaka ku "work within the system" initially. The bigger picture ni kwamba hizi ni political shenanigans tu, mahakama inatumika kisiasa kudhalilisha upinzani.

The bigger picture ni kwamba, on the original issue ya "unlawful assembly" CHADEMA walipewa kibali na polisi, halafu baada ya kupewa kibali, in the middle of the assembly, kibali kikawa mysteriously withdrawn in an unprecedented move. Labda ndiyo maana Mbowe akaona fvck it, I am not even going to court, the whole thing is a political fabrication.

Sasa unaweza kujikita katika sheria, lakini kama Mark Twain, my favorite iconoclast, alivyosema, "the law is an azz" . The British used the law to rule India, the Boers used the law to opress people in South Africa, The United States used Jim Crow laws to oppress black people in America, Tanzania is using similarly colonial and oppressive laws to stifle the opposition.

Kwa hiyo kinachohitajika sasa si kutetea kila sheria, hususan hizi seheria za kidhalimu zinazotumika kubana upinzani.

Na kama kuna mtu anaweza ku challenge mahakama na sheria zake dhalimu, mtu huyo anatakiwa kupewa support, si kupewa dharau.


Why Mbowe didn't stick with that? Kwa nini alimtuma tena Lissu aje amtetee kwa kitendo chake cha kutokwenda mahakamani tena kwa kutumia sheria zile zile ambazo zinatumika na watawala ku-oppress opposition? The worst thing, he even cited the wrong "oppressive" laws. Tena kwenye taarifa yake Mbowe alisema hatajisalimisha, only to go himself to the police station. Who are the losers here?
 
I think this whole notion of a democratic platform is highly misguided. Furthermore this whole appealing to the "lowest common denominator" thinking only serves to dumb down the narrative. Let's face it, even if it crosses my sometimes altruistic graces to cower in to the hubbub of the hoi polloi, I am not sure the tragic of the commons won't drag down my rhetoric with a wail to the effect of "Anaandika Kiswahili kigumu sana". Mimi sijidanganyi kama naweza kuongea na kila mtu hapa, chances are kama hunielewi hukutakiwa kunielewa na possibly utaleta gozigozi tu katika discussion. I am not talking too fast, you are listening too slow. It is an arrogant remark to make brother much as I revere people who embrance linguistic mightiness in any language!! Dont "dilute" ur language to cater for people who have opted for linguistic mediocrity!! Nonetheless,u shud hv bn more patient in ur response! I am allergic to simplicity in anything!! I revere u anywayz,I revere Mnyika!! And on that note, let's get back to the program
 
Arguing with you is like squeezing a sponge in the rain a useless procedure
If you squeeze a sponge in the rain it will lose all the water and will not absorb any more, because it is squeezed, a useful procedure. Find another illustration.
 
If you squeeze a sponge in the rain it will lose all the water and will not absorb any more, because it is squeezed, a useful procedure. Find another illustration.
and what happens if you let go of the squeeze in the rain (now put in it the context of its usage in this debate) ain't that useless.
 


Sir, you may be referring to a law which is no longer valid. Permits has been removed following then section 40 of the Police Force Ordinance and 11(1) of the Political Parties Act being declared void by the court for contravening article 20(2) of the Constitution. Therefore, the current section 43 (1) of the Police Force Auxiliary Services Act 2009 now only requires to submit a written notification not to request a permission. Once you submits a notification, you may proceed to convene procession unless you receive a stop order from the Police.



Again you still talking about "kibali" a term used in old law which is no longer valid. But I agree that the police, after receiving the notification, can issue what is known as a "stop order" after being satisfied that procession is likely to cause a breach of the peace, affect public safety or public order, etc. But how the police reach their decision is a mystery. We are not given any evidence that the procession is, for example, likely to cause the breach of peace.



Do you know the interval when the police issued the stop order and the time the procession was scheduled to start? The order was issued in the evening, hours before the procession. Kama wewe ungekuwa mwanasheria wao ungeenda ku-file wapi judicial review usiku ule?



Correct hapo kwenye kibali, otherwise utakuwa unamislead watu. There is no such thing as kuomba kibali under the current law. That was in the old law which was declared by the court unconstitutional.

Asante mkuu. Correction is duly noted with much appreciation. watu kama wewe ndio wanahitaji kupewa heshima, maana unajua unachoongea. Sio mtu anakuja kujadili ishu bila kujua maana ya criminal proceedings na civil proceedings. Alafu anabisha kwa nguvu hadi mate yanaruka. Anyway...Sikuwa na uhakika na sheria ya Tanzania on hizo terminologies, lakini nilikuwa nina uhakika polisi wana nguvu ya kuzuia mkutano au maandamano. Hiyo ipo wazi katika nchi nyingi sana hata zilizokomaa kidemokrasia. Tatizo wengi wanadhani kazi ya Polisi ni rahisi kweli. Anyway...Asante sana kwa hilo.
Hilo ulilosema kuhusu jinsi na muda wa polisi kutoa cancellation ndio lawyers wa Chadema wanaweza kushikilia hapo. Sina uhakika na caselaw inasemaje kuhusu time limitation kwa Tanzania. I would imagine kutakuwa na lugha kama 'reasonable time'. Cha maana ni kuangalia mahakama itatoa interpretation gani hapo.

Kusema ukweli, kuna uwezekano polisi wamecheza mchezo mchafu, na hilo sijapinga, lakini tatizo ni hawa watu wanaodhani Chadema inaweza kuvunja sheria kwa madai ya kudai haki. Hiyo ni kuwa ignorant kabisa.
Umeona CUF nao wamepigwa stop leo (ijumaa ya huko) dakika za mwisho which limits their legal avenues to address the issue. Inaonyesha wazi kuwa hii ishu inabidi iwe addressed immediately. Kama vyama vya siasi vinaweza kujiunga pamoja vilete a case to challenge hiyo. Hivi vitu ndio wanatakiwa kupiga kelele na kuwaeleza wananchi kwa ufasaha! Its their job...
 
Hapa kuna swala la sheria na haki.

Wewe point yako ni kuhusu contempt of court, hapa Mbowe wanampata kwa sababu it is straightforward umetakiwa kutokea mahakamani, hujatokea, umedharau mahakama. Ndiyo maana akaona hana ujanja kwa sheria zao wamemshika ma.pumbu.

Lakini, the bigger picture si hili. Mbowe hapa admittedly moderates wanaweza kusema ka boogie step kwa kutotaka ku "work within the system" initially. The bigger picture ni kwamba hizi ni political shenanigans tu, mahakama inatumika kisiasa kudhalilisha upinzani.

The bigger picture ni kwamba, on the original issue ya "unlawful assembly" CHADEMA walipewa kibali na polisi, halafu baada ya kupewa kibali, in the middle of the assembly, kibali kikawa mysteriously withdrawn in an unprecedented move. Labda ndiyo maana Mbowe akaona fvck it, I am not even going to court, the whole thing is a political fabrication.

Sasa unaweza kujikita katika sheria, lakini kama Mark Twain, my favorite iconoclast, alivyosema, "the law is an azz" . The British used the law to rule India, the Boers used the law to opress people in South Africa, The United States used Jim Crow laws to oppress black people in America, Tanzania is using similarly colonial and oppressive laws to stifle the opposition.

Kwa hiyo kinachohitajika sasa si kutetea kila sheria, hususan hizi seheria za kidhalimu zinazotumika kubana upinzani.

Na kama kuna mtu anaweza ku challenge mahakama na sheria zake dhalimu, mtu huyo anatakiwa kupewa support, si kupewa dharau.

Finally umeelewa mchezo. Sasa kama unadhani mtaweza kushindana nao kwa kuvunja sheria kwa nguvu, imekula kwenu. Sasa ivi tunaishi katika dunia ya utandawazi. Wakati Zitto anakuwa arrest Tabora, aliweka kila kitu kwenye twitter. Kasome blog yake. Ku-retiliate with force is not the right move at all. Kama wanatumia sheria kuwakamata, kumbuka sheria ni msumeno. Hili ni moja ya vitu kipenzi wako Mnyika amezungumzia. Sasa wanatakiwa wa-address hili kwa uwazi zaidi. Ndio kazi yao.
In regards to the Arusha thing...Chadema wana argument nzuri mahakamani juu ya jinsi ya ku-cancel mikutano. Mahakama inatunga sheria, na hivyo hapa tunaweza kuona mahakama ikiweka sheria mpya ku-limit hizo powers za polisi. Let us wait and see...
P.S: i can assure the law is not an as*. Jaribu kuisoma na kuilewa. In law lies the power to rule and control people, kama hiyo mifano uliyotoa. Kwa hiyo njia nzuri ya kuzuia kutawaliwa ni kujifunza sheria and being at the top of the game.
 
School the fool Eric.

nigger plz....una-support mtu ambaye hata hajui tofauti ya criminal proceedings na civil proceedings? This is well below ur level. acha kuwa mshabike wa kike ivyo. mwishowe utatoa ndogo...
Njoeni tena siku nyingine niwape shule ya bure....
 
Back
Top Bottom