This is very new FACEBOOT.com

This is very new FACEBOOT.com

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,431
Polisi wa kitanzania akiperuzi mtandao wa FACEBOOT.com

faceboot.jpg
 
Vijana wa IGP Mwema kazini, wamepitia miezi sita CCP Moshi
 
Huyo kibaka alikamatwa pale azikiwe karibu na benki moja hivi. Nakumbuka alikula kichapo cha haja. Yapata kama miezi minne au mitano hivi imepita.
 
Huyu askari anafanya kazi yake kulingana na mujibu wa sheria? kuna haja ya Tanzania kuwa na sheria za nchi?
 
Weledi uko api hapo? Hivi kwanini huyu ndugu polisi amuadhibu mtuhumiwa badala ya kumkamata, kukusanya ushahidi dhidi yake, kumpeleka mahakamani na akamtolee ushahidi madhubuti ili haki itendeke?

Hata katika ushikaji wa chombo cha kurusha vitu vizito hakuna weledi kwani yale yale ya Mwangosi (RIP brother) Je kama kitu kizito chenye ncha kali kingechomoka kwa bahati mbaya ingekuwaje?

Mbaya zaidi wananchi wanapita kando na kuangalia kana kwamba kinachofanyika ni sahihi au hakiwahusu. Utaona na watoto wetu wako kando wamesimama na wajifunza tabia mbaya hapo.

Hakika sina nia ya kumtetea huyo mtuhumiwa ila utaratibu si upo? basi na ufuatwe. Kila mtu atimize wajibu wake.

Tuheshimiane jamani

View attachment 69898[/QUOTE]
 
Duh! Mshkaji saivi sijui yuko wapi. Na si ajabu alikwiba ndege aina ya kuku. Ningefurahi kama wale waliowekeza uswisi wapewe kitu cha facebuti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom