gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,585
Aisee!Kuna nchi sababu ni za msingi kama syria au hata eritrea au dprk mkono wa chuma wa watawala ndo unazalisha wakimbizi lakini hizi nyingine kweli marisk taker.Mbaya saana mzee, wakati mwingine mafanikio huja baada ya kurisk!
kakosa nafas!Huyo aliyewapiga picha mbona hajalala?
Nimependa hiiNimekusamehe bure, but watch your language. JF hatuonani, twatumia majina ya bandia, utakuja kutukana hata wazazi na ndugu zako, kuwa muungwana kuwa na hekima
Hahaha!!kakosa nafas!
Yaelekea ulianza shule miaka ya Kikwete.We unaandika utumbo gani tena hapa?
Mapaja ya mwanamme we lzm uyataje kila mara.
We bwabwa?
Achana na huyu jamaa haujui huu wimbo hawa ndio kizazi cha .comNimekusamehe bure, but watch your language. JF hatuonani, twatumia majina ya bandia, utakuja kutukana hata wazazi na ndugu zako, kuwa muungwana kuwa na hekima
akaamua achezee smartphoneHahaha!!
m mwenyewe kuna jamaa amenipa dili la kwenda dubai kufanya kazi za ICT.....anadai ukifanya kazi miaka miwili tu ukirudi umaskini bai bai.........nilipoona hizo picha nimeghairi siendi tena nakomaa hapahapa bongo.......dubai ntaenda kutalii sio kufanya kaziHalafu mkuu jaribu kujua lugha na maana zake expatriates ni mfanya kazi mgeni tena aliyebobea katika fani flani na huwa wanaombwa na taifa au wanakuja kwa shughuli maalum pia ni wasomi haswaaa wanatambulika na nchi zao na wanaheshima yao katika nchi husika wanayoifanyia kazi
Maisha hayo hayapo dunia nzima. Kuna sehemu hakuna maisha hayo.Maisha hayo yapo Dunia nzima,
Sijaona la ajabu,
The other side of Dubai My Foot!
Maisha hayo hayapo dunia nzima. Kuna sehemu hakuna maisha hayo.
Mkuu hio style ya "pay as u go" ipo sehemu nyingi.[h=3]
[/h]Expatriates working in Dubai below the salary range AED 500 end up living within the accommodations like this, if the company accommodation is not provided. May God Bless them all to find the work in their own country. Rather than come here and suffer in this plight These are actual shots taken in Al Quoz Area Dubai.
Hayo sio mazingira magumu.....huo ni unyanyasaji, hata wakimbizi UK,Sweden,Denmark hawaishi hivyo....kumbe ndio maana wanakimbiliaga Ulaya badala ya Uarabuni!Naomba unitajie nchi 5,
Ambazo hazina watu wanaoishi katika mazingira magumu.
Hayo sio mazingira magumu.....huo ni unyanyasaji, hata wakimbizi UK,Sweden,Denmark hawaishi hivyo....kumbe ndio maana wanakimbiliaga Ulaya badala ya Uarabuni!
Jamaa wamekwenda kwaajiri ya ujenzi wa viwanja vya mpira 2020 Dubai wanatoka Bangladesh na Nepal ndio wengi na indiaSiwezi kataa mada ila inategemea unaenda Dubai kwa kazi gani binafsi nawajua watu pia namjua mtu wangu was karibu ambaye anaganya kazi huku Dubai katika mall maisha yake ni mazuri hakuna mfano ndani ya miezi mitatu amepewa gari pia anaishi katika apartment akiwa roommates wenzake na analipwa vizuri tu ,mwingine yupo katika oil industry yeye Naye Yuki vizuri zaidi sasa hawa sijui imekuwaje ,hata Mimi Nina mpango wa kwenda huko mwaka huu coz tayari Nina contacts