This is the best method on how to enlarge your penis with natural herbs

mmh hii dawa duuuh!..kiboko haswaaa! acha niweke vipeperush vya bure na wengne waneemeke
 
kuna watu wamekuwa wakihangaika kwa waganga wa tiba asilia na wengine mahospitalini kutafuta dawa za kubadili maumbile yao kuwa shababi bila mafanikio........wengi wao wameishiwa kutapeliwa na wengine wameishiwa kupata maumbile ya kupitiliza mahitaji

kuna wengine wanaamini kwamba hakuna dawa inayoweza kufanya kazi ya kuongeza maumbile ya wanaume kutokana na propaganda zinazosambazwa na baadhi ya matabibu kwenye vyombo vya habari ukweli ni kwamba dawa zipo tena hazina madhara kwa binadamu

dawa hizo zinaweza kutengenezwa kwa vyakula tunavyotumia kila siku na vinavyopatikana kwenye mazingira yanayotuzunguka

tafuta vitu vifuatavyo;

1..Pilipili Baridi vijiko viwili
2.Unga wa Pilipili mtama Nyeupe kijiko kimoja
3.Kibiriti upele kijiko kimoja
Changanya vizuri na asali mbichi ya nyuki.

namna ya kutumia

1.safisha maungo yako yako ya kiume kwa maji vuguvugu dakika 3 mpaka 5
2.chua/massage maungo yako ya kiume kwa mchanganyiko huo wa asali kwa dakika 7
3. rudia kufanya massage ya maungo yako kwa siku kadhaa.utaanza kuona mabadiliko ya saizi ya maungo yako
4.Endelea na zoezi mpaka itakapofikia saizi unayotaka.ukiona hapa inatosha acha dozi

tumia elimu hii kuwaelekeza wenzako namna ya kutengeneza dawa hii bure.......

nb; hivyo vifaa vyote vinapatikana kwenye maduka ya dawa za asili kwa dar ni rahisi kupata kariakoo

gonga like na njoo utoe ushuhuda kama dawa imekusaidia
Habari...


Nimeulizwa hivi vitu na mtu mwenye tatizo hilo ila nikakosa majibu, plz embu saidia:-

1..Pilipili Baridi- hii ni kitu gani?
2.Unga wa Pilipili mtama Nyeupe -hii ni nini ?
3.Kibiriti upele kijiko- hii ni nini na vyoote vinapatikana wapii?


Asante kwa elimu nzuri, tiba asilia.
 
Wenye shida zetu tuache hatutamani hata kuishi mi nna 5.5'' naona hata aibu kumtokea msichna najua ipo siku ataniharibia tuu mtaani
 
Back
Top Bottom