Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,267
si afadhali hao wamekutwa live .. sincerely kwenye mahoteli / mashughuli kuna mambo tena mengine ukiyaona utasubutu kula hovyo .. the only place you can get decent food ni nyumbani peke ..
huku kwetu kwa mama ntilie ndo usiseme na hayo mambo ya kishirikina kuna story chungumzima mpaka yanatisha .. na kweli kama unajamaa au ndugu anaependa kula kwa mama ntilie ukilinganisha mwili wake wa zamani na wasasa utakubali kwamba kuna mabadiliko makubwa na yametokea ghafla kama si haraka ..
si afadhali hao wamekutwa live .. sincerely kwenye mahoteli / mashughuli kuna mambo tena mengine ukiyaona utasubutu kula hovyo .. the only place you can get decent food ni nyumbani peke ..
huku kwetu kwa mama ntilie ndo usiseme na hayo mambo ya kishirikina kuna story chungumzima mpaka yanatisha .. na kweli kama unajamaa au ndugu anaependa kula kwa mama ntilie ukilinganisha mwili wake wa zamani na wasasa utakubali kwamba kuna mabadiliko makubwa na yametokea ghafla kama si haraka ..
si afadhali hao wamekutwa live .. sincerely kwenye mahoteli / mashughuli kuna mambo tena mengine ukiyaona utasubutu kula hovyo .. the only place you can get decent food ni nyumbani peke ..
huku kwetu kwa mama ntilie ndo usiseme na hayo mambo ya kishirikina kuna story chungumzima mpaka yanatisha .. na kweli kama unajamaa au ndugu anaependa kula kwa mama ntilie ukilinganisha mwili wake wa zamani na wasasa utakubali kwamba kuna mabadiliko makubwa na yametokea ghafla kama si haraka ..
Mimi nilishaacha kula kwenye so called Chinese joints baada ya kusikia mistori kibao. Kuna kipindi nilikuwa addicted sana na Chinese. Nilikuwa napenda zile teriyaki chicken on a stick/ skewer. But I always had this doubt in my mind coz it never really tasted like chicken but nevertheless, it was called teriyaki chicken. So I kept on convincing myself that they probably season it very well and that's why it doesn't taste like regular chicken. Don't get me wrong now, it tasted good and all but just not like regular chicken.
The wake up call came one day after I saw this news story out New York about a Chinese joint that got busted. Since then, I've been very careful on which Chinese joint I go to wine and dine. I recommend PF Chang's
Mimi nilishaacha kula kwenye so called Chinese joints baada ya kusikia mistori kibao. Kuna kipindi nilikuwa addicted sana na Chinese. Nilikuwa napenda zile teriyaki chicken on a stick/ skewer. But I always had this doubt in my mind coz it never really tasted like chicken but nevertheless, it was called teriyaki chicken. So I kept on convincing myself that they probably season it very well and that's why it doesn't taste like regular chicken. Don't get me wrong now, it tasted good and all but just not like regular chicken.
The wake up call came one day after I saw this news story out New York about a Chinese joint that got busted. Since then, I've been very careful on which Chinese joint I go to wine and dine. I recommend PF Chang's
Mimi uwoga wangu ni kwenye buffet. Hivi umeshawahi kuwa na bonge la njaa, halafu ukaingia kwenye "all you can eat" restaurant kama Golden Corral. Then hata kabla haujafika nusu ya sahani yako, tayari tumbo limeshajaa.
All you can eat chinese restaurants ndo noma kabisa.
Huwa nilikuwa najiulizaga, wanaweka nini kwenye chakula mpaka nishibe haraka hivyo? Nikaona solution ni kuquit kula huko altogether...
Unajua nini QM? Wanaweka chumvi na seasoning kibao zenye michumvi inayokufanya unywe maji au soda nyingi just after you take the first couple of bites. Unajaza tumbo na mi liquid hiyo na ndio maana unashiba kabla hata hujafika nusu ya sahani. Wajanja sana hawa watu...