This is not fair!

ha haaaa haaaa..........aaahhhh,kweli hayo ni manuunda kupitiliza
 
umenikumbusha joke ya vijana waliopata desa waka-solve usiku kucha wakiamini ndo paper yenyewe. kuingia kwenye mtihani wanakuta ngoma sio.wakatoka wakiambia wasimamizi 'mmekosea bana,paper sio hii!!'
 
umenikumbusha joke ya vijana waliopata desa waka-solve usiku kucha wakiamini ndo paper yenyewe. kuingia kwenye mtihani wanakuta ngoma sio.wakatoka wakiambia wasimamizi 'mmekosea bana,paper sio hii!!'
<br />
<br />
Mi nakumbuka kuna shule moja ya advance huko kilombero,paper ya number(hesabu) ilivuja,wanafunzi wote wakashindwa ku-solve hadi mwalimu wao ikamshinda na kesho yake wote wakafeli paper!
 
umenikumbusha joke ya vijana waliopata desa waka-solve usiku kucha wakiamini ndo paper yenyewe. kuingia kwenye mtihani wanakuta ngoma sio.wakatoka wakiambia wasimamizi 'mmekosea bana,paper sio hii!!'

lazima wakasaidie polisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…