Jaguar JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,440 Reaction score 1,029 Sep 11, 2011 #1 TEACHER:If 1+1=2 and 2+2=4,what is 4+4? PUPIL:That is not fair!you answer the easy ones and leave us with the hard one!
TEACHER:If 1+1=2 and 2+2=4,what is 4+4? PUPIL:That is not fair!you answer the easy ones and leave us with the hard one!
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,656 Sep 11, 2011 #2 ha haaaa haaaa..........aaahhhh,kweli hayo ni manuunda kupitiliza
chapaa JF-Expert Member Joined Feb 19, 2008 Posts 2,349 Reaction score 206 Sep 12, 2011 #3 ama kweli iz not fea!
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,980 Sep 13, 2011 #5 umenikumbusha joke ya vijana waliopata desa waka-solve usiku kucha wakiamini ndo paper yenyewe. kuingia kwenye mtihani wanakuta ngoma sio.wakatoka wakiambia wasimamizi 'mmekosea bana,paper sio hii!!'
umenikumbusha joke ya vijana waliopata desa waka-solve usiku kucha wakiamini ndo paper yenyewe. kuingia kwenye mtihani wanakuta ngoma sio.wakatoka wakiambia wasimamizi 'mmekosea bana,paper sio hii!!'
G gracious86 JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 437 Reaction score 55 Sep 13, 2011 #6 Hahahahah
Jaguar JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,440 Reaction score 1,029 Sep 13, 2011 Thread starter #7 King'asti said: umenikumbusha joke ya vijana waliopata desa waka-solve usiku kucha wakiamini ndo paper yenyewe. kuingia kwenye mtihani wanakuta ngoma sio.wakatoka wakiambia wasimamizi 'mmekosea bana,paper sio hii!!' Click to expand... <br /> <br /> Mi nakumbuka kuna shule moja ya advance huko kilombero,paper ya number(hesabu) ilivuja,wanafunzi wote wakashindwa ku-solve hadi mwalimu wao ikamshinda na kesho yake wote wakafeli paper!
King'asti said: umenikumbusha joke ya vijana waliopata desa waka-solve usiku kucha wakiamini ndo paper yenyewe. kuingia kwenye mtihani wanakuta ngoma sio.wakatoka wakiambia wasimamizi 'mmekosea bana,paper sio hii!!' Click to expand... <br /> <br /> Mi nakumbuka kuna shule moja ya advance huko kilombero,paper ya number(hesabu) ilivuja,wanafunzi wote wakashindwa ku-solve hadi mwalimu wao ikamshinda na kesho yake wote wakafeli paper!
M mamanzara JF-Expert Member Joined Oct 9, 2007 Posts 651 Reaction score 196 Sep 13, 2011 #8 Ha ha ha haaa, si mchezo.
S Spear_ JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 1,827 Reaction score 1,317 Sep 13, 2011 #9 King'asti said: umenikumbusha joke ya vijana waliopata desa waka-solve usiku kucha wakiamini ndo paper yenyewe. kuingia kwenye mtihani wanakuta ngoma sio.wakatoka wakiambia wasimamizi 'mmekosea bana,paper sio hii!!' Click to expand... lazima wakasaidie polisi
King'asti said: umenikumbusha joke ya vijana waliopata desa waka-solve usiku kucha wakiamini ndo paper yenyewe. kuingia kwenye mtihani wanakuta ngoma sio.wakatoka wakiambia wasimamizi 'mmekosea bana,paper sio hii!!' Click to expand... lazima wakasaidie polisi