Yea! Nimekubali hiyo ni nyumba yako ya ndotoni.
Noja nijaribu haka......maana tatizo wakati wengine tunahitaji pa kulala wengine mwatafuta pakuishi
hii siyo nyumba ya neyo kweli...
hii ndoto imeshaotwa na imetimizwa...dream yours aisee
Mimi niliweka kawimbo haka...Watu wengine bwana........watu wengine bwana........Watu wengine bwana..........Nikajua jamaa anaota akanitoke kwa swali ninachupa ngapi kichwani??Akili ni nywele kila mtu anazake. Kama hizi ni akili zako na kweli umeagiza ramani toka USA naomba nikushangae tu nisikupe hongera wala kukulaumu maana sijui chanza cha mapato yako. Ingekuwa hiyo avator ndoo sura yako halisi, ningeuliza swali la kizee kwa kizungu, At your age, where did you got that kind of money? Otherwise I'm meant to understand that you are real "young master" doing 419 business. Goodluck
Mimi niliweka kawimbo haka...Watu wengine bwana........watu wengine bwana........Watu wengine bwana..........Nikajua jamaa anaota akanitoke kwa swali ninachupa ngapi kichwani??
Mkuu, Hiyo rangi ya ndani inaitwaje, nimeipenda sana, hivi Bongo inaweza patikana wapi?Kwani ni lazima uwe tembo kuishi kwenye nyumba nzuri na ya kifahari?
Mkuu, Hiyo rangi ya ndani inaitwaje, nimeipenda sana, hivi Bongo inaweza patikana wapi?
Rangi ya ndani Mkuu hiyo ambayo ipo kama gray hivi
Mie hata sijui mkuu...wewe chukua hiyo picha halafu kawaonyeshe wachanganya rangi...watakuchanganyia hadi utapata hiyo rangi.
Kwa vile dunia mapito....kheir nijenge akhera yangu
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Let your idea becomes a master, and the money becomes your slave then drive the money whatever you like...all the best!
Nyumba nzuri mkuu, du imenitamanisha nianze kufikiria kujenga tena!!!
One of the good house to have.