This is my future car...Whats yours?

Tafuta gari inayoitwa marauder from south africa.
 
naskia serkal yetu hazruhusu mtu kumiliki labda kwa kbal o utauziwa mtumba na c mpya is it true!!?

Nilshawahi kusikia habari kama hizo,sina uhakika lakini waziziue kwa sababu zipi hasa!kwani wanahati miliki au wanatengeneza wao!ngoja nitafute mkwanja itajulikana tu juu kwa juu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…