Hio ndio stand bora kwa sasa afrika mashariki na kati.
Stand ya ubungo jijini Dsm ambayo ndiyo stand mama kwa Tanzania yenyewe imekuwa kama gofu lilopigwa bomu na mgambo wa Al qaeda katika vita ya Iraq kwa namna ilivyokuwa hovyo kwa kuwa na uchakavu wa kila namna na majengo yaliyochoka sana pale stand ya ubungo

Ni stand bora kwa sasa hapa Tanzania, inashindana na JKIA na KIA
Unazungumzia Mwanza?Mikoa hii ya Mza na Shinyanga ni ya watu kuvuna na kuondoka.Wamevuna sana huku na kupaacha hovyo halafu unashangaa viongozi wala hawachukui hatua.Labda awamu hii tunaweza kushuhudia angalau mabadiliko kidogo.Ni nzuri kuliko stand ya Ubungo au kiwanja cha ndege jiji la Mwanza
Pa kawaida ukilinganisha na wapi [HASHTAG]#itakuwa[/HASHTAG] umeishi nje sanaInasemekana ndio stand nzuri Tanzania japo huwa nikipita mchana naona pakawaida.