kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Kwan ile stand ni ya nan labda tuanzie hapo?
Naomba jibu kwa anaefahamKwan ile stand ni ya nan labda tuanzie hapo?
Hongera kwa kuwahi kupanda ndege!Ni nzuri kuliko kiwanja cha ndege jiji la Mwanza
Tena kinachuma zaidi kutoza watu TSH 300 bila sababu za msingi, ile stand ilishavunjwa hakuna huduma za kijamii kwanini walivunja kabla hiyo mpya haijakamilika? Kwanini bado wanatoza ushuru? Nilidhani jiji likiwa chini ya ukawa hii kero itatatuliwa lkn wapi hakuna anaejali.Hio ndio stand bora kwa sasa afrika mashariki na kati.
Stand ya ubungo jijini Dsm ambayo ndiyo stand mama kwa Tanzania yenyewe imekuwa kama gofu lilopigwa bomu na mgambo wa Al qaeda katika vita ya Iraq kwa namna ilivyokuwa hovyo kwa kuwa na uchakavu wa kila namna na majengo yaliyochoka sana pale stand ya ubungo
Mchana panakuwaje hapo!!
Weka picha zake tuone kama alivyoweka mwenzakoNi kati ya projet bora kabisa huyo stendi pamoja na moja ipo Tanga imefunguliwa juzi juzi
Shukran mkuuHongera kwa kuwahi kupanda ndege!
Unataka spoon feeding? Wewe ni mtoto chini ya miaka 5 endelea kukua zaidiWeka picha zake tuone kama alivyoweka mwenzako
HahahaNi stand bora kwa sasa hapa Tanzania, inashindana na JKIA na KIA
Spoon feeding ndio nini mkuu? Nilichoomba ni kuwekewa picha ya stand ya Tanga ili ku support hoja yako kama ulivyosema!Unataka spoon feeding? Wewe ni mtoto chini ya miaka 5 endelea kukua zaidi
Katafute googleSpoon feeding ndio nini mkuu? Nilichoomba ni kuwekewa picha ya stand ya Tanga ili ku support hoja yako kama ulivyosema!