This is good

This is good

Satuuuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2015
Posts
1,849
Reaction score
1,994
1472304987873.jpg
 
Wenyewe wanaelewana tatizo si sie ujinga na umasikini ndiyo unatusumbua tu,hata sass hivi tukiambiwa Magufuri alikuwa havunji katiba tutakubali kwani tumeshakubali mangapi!
 
Kuna kada wa ccm kalalamika eti kwani Pombe anaongea na Lowasa.
Sijui alitaka wapigane?
 
Aliposema atawalinda waliomtangulia hakukosea Ila kikubwa ktk hili la Leo Mh.Magufuli kasema imekua ni muujiza Leo kwa kushikana mkono na Mh.Lowasa
 
Mange kimambi povu linamtoka huko insa siasa mchezo huu hauitaji hasira ukiwa na hasira utaumia sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom