ndugu yangu ama kweli dunia ni ya ajabu!
Lakini kama malkia wa uingereza ndiye mkuu wa jumuia ya madola - ambayo na sisi tumo tena kwa unyenyekevu na utii mkubwa, huenda mapokezi anayopewa mwana mfalme huyu ni stahili yake
Kwa maneno mengine unatuambia ni Mfalme wetu pia Watanzania? Yaani Tunaendelea kutawaliwa?
Hapo ulipo unajiona uko huru? Kwa namna ambavyo mnaendelea kuwakabidhi Wazungu rasilimali zenu na hata usalama wenu ati kwa ajili ya misaada kama vyandarua na kondomu, Bwana Mavumbi wewe shukuru Mungu tu kuwa unapata ugali wako! You are still a colonised people!