A43
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 385
- 757
Kuna mda mafanikio yanahitaji Fikra tofauti, na fikra au mawazo ya kawaida kabisa ya watu wengi juu ya jambo au maamuzi fulani. Ndio maana hii leo kuna watu wanatafakari nakutenda kitofauti lengo ku achieve jambo au kitu fulani na kinaleta mshangao kwa watu wengi kwamba ilikuaje ukawaza nakutenda vile?
#Think different #Be positive #Simamia maono #Innovation #Creativity
#Think different #Be positive #Simamia maono #Innovation #Creativity